• complaint |
    • Contact Us |
    • FAQ |
    • Staff Mail |
    • Frequently Asked Questions |
Halmashauri ya Wilaya ya Mbogwe
Halmashauri ya Wilaya ya Mbogwe

The United Republic of Tanzania MBOGWE DISTRICT COUNCIL MBOGWE DISTRICT COUNCIL

  • Home
  • About Us
    • History
    • Vision and Mission
  • Administration
    • Organization Structure
    • Department
      • Administration and human resource
      • Mipango, Takwimu na Ufuatiliaji
      • Finance and Business
      • Social Work
      • Health
      • Ardhi na Mali Asili
      • Elimu Msingi
      • Elimu Sekondari
      • Kilimo,Umwagiliaji na Ushirika
      • Mifugo na Uvuvi
      • Maji na Udhibiti Majitaka
      • Ujenzi na Zimamoto
      • Mazingira na Udhibiti Taka Ngumu
    • Units
      • Procurement and Supply
      • Sheria
      • Tehama
      • Ukaguzi wa Ndani
      • Nyuki
      • Uchaguzi
  • Fursa na Uwekezaji
  • Huduma
  • Madiwani
    • Orodha ya Waheshimiwa Madiwani
    • Kamati za Kudumu za Hamashauri ya Mbogwe
      • Kamati ya Fedha,Uongozi na Mipango
      • Kamati ya Elimu,Afya Na Maji
      • Kamati ya Maaadili
      • Kamati ya Uchumi,Ujenzi na Mazingira
      • Bodi ya Ajira
      • Alat Mkoa
      • Kamati ya Vileo
      • Kamati ya Kudhibiti Ukimwi(CMAC)
      • Kamati ya Kugawa Ardhi
      • Kamati ya LAVULAK
  • Miradi
    • Project Projection
    • Ongoing Projects
    • Completed Projects
  • Kituo cha Habari
    • Hotuba
    • Picha za Matukio mbalimbali
  • Machapisho
    • Bajeti na Taarifa za Mapato
    • Fomu mbalimbali

Wananchi Mbogwe Wahimizwa Kutunza Mazingira Kutokomeza Malaria

Posted on: April 6th, 2018

  Pamoja na maambukizi ya ugonjwa wa malaria kupumgua kwa

aslimia 40 kutoka wagonjwa million saba mwaka 2015 hadi kufikia

wagonjwa million nne mwaka 2017, bado Mkoa wa Geita ni miongoni mwa

Mikoa minne ambayo kiwango cha maambukizi hakijapungua.


Kutokana na hali hiyo moja ya ujumbe wa mwenge kitaifa mwaka huu ni

kushiriki kutokomeza malaria kwa manufaa ya jamii.


Akiwa wilayani Mbogwe kiongozi wa mbio za Mwenge Kitaifa Charles

Kabeho alisema pamoja na mafanikio makubwa ya kupunguza maambukizi ya

ugonjwa huo bado tatizo la malaria limeendelea kuwa kubwa.


Takwimu hizo zinaonyesha vifo vimepungua kutoka 6,311 mwaka 2015  hadi

kufikia vifo 5,382 mwaka 2017`na kwamba pamoja na kupungua kwa vifo

bado ugonjwa wa malaria ni tatizo kubwa kwa afya za wananchi.

                                                                        `

Kabeho aliwataka wananchi kuhamasika na kuona umuhimu wa matumizi ya

viuadudu vya kibailojia katika kuangamiza viluwiluwi vya mbu katika

mazalia yao.


“wananchi tunzeni mazingira kwa kufyeka majani na vichaka kandokando

ya nyumba zenu na kuharibu mazalia yote ambapo maji yametwama ili mbu

wasizaliane “alisema Kabeho


Akizungumza katika kituo cha afya Masumbwe wakati  wa zoezi la ugawaji

vyandarua kwa wajawazito na watoto chini ya miaka mitano Muuguzi wa

kituo cha afya Masumbwe Yohana Filipo alisema halmashauri ya Mbogwe

kwa kipindi cha julai 2017 hadi machi 2018 wamegawa vyandarua 23,000

kwa kina mama wajawazito na watoto.


Alisema katika kipindi hicho wananchi 82,000 walipima malaria na kati

yao wananchi 26,961 ambao ni sawa na asilimia 33 walikutwa na vimelea

vya malaria na kwamba mwamko wa wananchi kupima kabla ya kuanza dawa

umesaidia kupunguza idadi kubwa ya wagonjwa waliokuwa wakitumia dawa

bila kupima.


Aidha Mwenge wa Uhuru ulizundua jengo la upasuaji katika kituo cha

afya Iboya. Jengo hilo hadi kukamilika  limegharimu  shilingi 387,579,734 milioni


Kufunguliwa kwa jengo hilo ni mkombozi kwa kina mama wajawazito

wanaopata shida wakati wa kujifungua na kulazimika kupelekwa kituo cha

afya Masumbwe kupata huduma ya upasuaji.

Mwenge wa uhuru pia uliweka jiwe la msingi barabara ya

Busafya-Nyakasaluma-Kanegere gerezani  yenye urefu wa km 10

inayojengwa kwa kiwango cha cahangarawe kwa gharama y a sh,206 milion.


Mwenge wa uhuru ukiwa wilayani Mbogwe ulizindua,kukagua na kufungua

miradi 10 yenye thamani ya sh, 1.1 bilion

Announcements

  • Watoto wa kike waliokatisha Masomo yao November 01, 2021
  • TANGAZO LA NAFASI ZA KAZI YA USAJILI WA ANWANI ZA MAKAZI March 09, 2022
  • Mfumo wa Maombi ya Kazi kwa Walimu September 06, 2020
  • Ratiba ya Kampeni za Kampeni Jimbo la Mbogwe August 26, 2020
  • View All

Latest News

  • UGAWAJI WA PIKIPIKI KWA MAAFISA UGANI WOTE

    June 26, 2025
  • KIKAO CHA TATHMIN YA MKATABA WA LISHE CHAFANYIKA

    June 25, 2025
  • KIKAO CHA LISHE CHAFANYIKA MBOGWE

    June 25, 2025
  • MKUU WA WILAYA AGAWA VITAMBULISHO KWA WAZEE

    June 24, 2025
  • View All

Video

UFUNGUZI WA MAJENGO MAPYA NA UPANUZI WA KITUO CHA AFYA CHA MASUMBWE, GEITA
More Videos

Quick Links

  • MKOA WA GEITA
  • WIZARA YA TAMISEMI
  • IKULU YA JAMHURI YA MUUNGANO WA TANZANIA
  • MAMLAKA YA MAPATO TANZANIA(TRA)
  • BARAZA LA MITIHANI LA TAIFA(NECTA)
  • WIZARA YA KATIBA NA SHERIA
  • WIZARA YA ELIMU,SAYANSI NA TKNOLOJIA
  • WIZARA YA FEDHA NA MIPANGO

Related Links

  • Ofisi ya Rais Tawala za Mikoa na Serikali za Mitaa
  • Ofisi ya Rais Utumishi na Utawala bora
  • Mkoa wa Geita

World visitors tracker

world map hits counter

Contact Us

    Mbogwe District council ,Masumbwe-Mbogwe,Geita

    Postal Address: P.O Box 1 Masumbwe

    Telephone: +255734412592

    Mobile: +255734412592

    Email: ded@mbogwedc.go.tz

Other Contacts

   

Visitors Counter

Counter Widgets

    • Privacy Policy
    • Disclamer
    • FAQ
    • Sitemap
    • Service

Copyright ©2016 GWF . All rights reserved.