• complaint |
    • Contact Us |
    • FAQ |
    • Staff Mail |
    • Frequently Asked Questions |
Halmashauri ya Wilaya ya Mbogwe
Halmashauri ya Wilaya ya Mbogwe

The United Republic of Tanzania MBOGWE DISTRICT COUNCIL MBOGWE DISTRICT COUNCIL

  • Home
  • About Us
    • History
    • Vision and Mission
  • Administration
    • Organization Structure
    • Department
      • Administration and human resource
      • Mipango, Takwimu na Ufuatiliaji
      • Finance and Business
      • Social Work
      • Health
      • Ardhi na Mali Asili
      • Elimu Msingi
      • Elimu Sekondari
      • Kilimo,Umwagiliaji na Ushirika
      • Mifugo na Uvuvi
      • Maji na Udhibiti Majitaka
      • Ujenzi na Zimamoto
      • Mazingira na Udhibiti Taka Ngumu
    • Units
      • Procurement and Supply
      • Sheria
      • Tehama
      • Ukaguzi wa Ndani
      • Nyuki
      • Uchaguzi
  • Fursa na Uwekezaji
  • Huduma
  • Madiwani
    • Orodha ya Waheshimiwa Madiwani
    • Kamati za Kudumu za Hamashauri ya Mbogwe
      • Kamati ya Fedha,Uongozi na Mipango
      • Kamati ya Elimu,Afya Na Maji
      • Kamati ya Maaadili
      • Kamati ya Uchumi,Ujenzi na Mazingira
      • Bodi ya Ajira
      • Alat Mkoa
      • Kamati ya Vileo
      • Kamati ya Kudhibiti Ukimwi(CMAC)
      • Kamati ya Kugawa Ardhi
      • Kamati ya LAVULAK
  • Miradi
    • Project Projection
    • Ongoing Projects
    • Completed Projects
  • Kituo cha Habari
    • Hotuba
    • Picha za Matukio mbalimbali
  • Machapisho
    • Bajeti na Taarifa za Mapato
    • Fomu mbalimbali

Ziara ya Naibu Waziri Wizara ya Afya Mbogwe

Posted on: August 2nd, 2017

NAIBU WAZIRI WIZARA YA AFYA,MAENDELEO YA JAMII,JINSIA ,WAZEE NA WATOTO, MH KHAMIS KIGWANGALA AMEFANYA ZIARA KWENYE KITUO CHA  AFYA MASUMBWE, MBOGWE.

Naibu Waziri wa Afya ,Maendeleo ya Jamii, Jinsia ,Wazee na Watoto amefanya ziara kwenye kituo cha Afya Masumbwe  na kujionea jinsi kituo hicho kinavyotoa huduma kwa jamii.  Katika ziara hiyo Mh kigwangala ametembelea chumba cha upasuaji pamoja na chumba cha maabara na kuridhika na huduma zinazotolewa na kituo hicho na kuupongeza uongozi wa kituo  hicho.


Wilaya ya Mbogwe ina jumla ya wakazi  215,404  lakini haina hospitali ya wilaya hivyo Mh Kigwangala ametoa maagizo kwa  Mkurugenzi Mtendaji wa Halmashauri kutilia mkazo ujenzi wa hospitali ya wilaya hata kwa kuanzia na jingo moja la wagonjwa wa nje

Vile vile Naibu waziri amesema zahanati zilizopo na vijiji havina uwiano  kwani kwa wilaya nzima kuna zahanati  16  wakati vijiji vipo 86 hivyo kutoa maagizo kwa Mkurugenzi  kuweka msisitizo kwenye ujenzi wa zahanati ili kusogeza huduma karibu na wananchi.

Akitoa changamoto zinazoikabili idara ya afya  Mganga Mkuu (W) Dr Erasto Ritte amemueleza naibu waziri kuwa wanakabiliwa na upungufu mkubwa wa damu kwani jamii ya Mbogwe haitoi ushirikiano na hivyo kutegemea damu kutoka kwa wanafunzi tu

Pamoja na hayo  ametoa changamoto ya watumishi pamoja na vitendea kazi , ikiwemo mashine ya Xray .



Announcements

  • Watoto wa kike waliokatisha Masomo yao November 01, 2021
  • TANGAZO LA NAFASI ZA KAZI YA USAJILI WA ANWANI ZA MAKAZI March 09, 2022
  • Mfumo wa Maombi ya Kazi kwa Walimu September 06, 2020
  • Ratiba ya Kampeni za Kampeni Jimbo la Mbogwe August 26, 2020
  • View All

Latest News

  • WAENDESHA VIFAA VYA BIOMETRIKI NA WAANDISHI WASAIDIZI WAKIPATA MAFUNZO

    April 29, 2025
  • MAFUNZO YA WAENDESHA VIFAA VYA BIOMETRIKI NA MAFUNZO YA WAANDISHI WASAIDIZI YAMEFANYIKA LEO TAREHE 29 APRILI,2025

    April 29, 2025
  • TAARIFA YA MKAGUZI WA MAHESABU

    June 26, 2024
  • Progamu ya utoaji wa Chakula Mashuleni wilayani Mbogwe

    May 20, 2022
  • View All

Video

UFUNGUZI WA MAJENGO MAPYA NA UPANUZI WA KITUO CHA AFYA CHA MASUMBWE, GEITA
More Videos

Quick Links

  • MKOA WA GEITA
  • WIZARA YA TAMISEMI
  • IKULU YA JAMHURI YA MUUNGANO WA TANZANIA
  • MAMLAKA YA MAPATO TANZANIA(TRA)
  • BARAZA LA MITIHANI LA TAIFA(NECTA)
  • WIZARA YA KATIBA NA SHERIA
  • WIZARA YA ELIMU,SAYANSI NA TKNOLOJIA
  • WIZARA YA FEDHA NA MIPANGO

Related Links

  • Ofisi ya Rais Tawala za Mikoa na Serikali za Mitaa
  • Ofisi ya Rais Utumishi na Utawala bora
  • Mkoa wa Geita

World visitors tracker

world map hits counter

Contact Us

    Mbogwe District council ,Masumbwe-Mbogwe,Geita

    Postal Address: P.O Box 1 Masumbwe

    Telephone: +255734412592

    Mobile: +255734412592

    Email: ded@mbogwedc.go.tz

Other Contacts

   

Visitors Counter

Counter Widgets

    • Privacy Policy
    • Disclamer
    • FAQ
    • Sitemap
    • Service

Copyright ©2016 GWF . All rights reserved.