• complaint |
    • Contact Us |
    • FAQ |
    • Staff Mail |
    • Frequently Asked Questions |
Halmashauri ya Wilaya ya Mbogwe
Halmashauri ya Wilaya ya Mbogwe

The United Republic of Tanzania MBOGWE DISTRICT COUNCIL MBOGWE DISTRICT COUNCIL

  • Home
  • About Us
    • History
    • Vision and Mission
  • Administration
    • Organization Structure
    • Department
      • Administration and human resource
      • Mipango, Takwimu na Ufuatiliaji
      • Finance and Business
      • Social Work
      • Health
      • Ardhi na Mali Asili
      • Elimu Msingi
      • Elimu Sekondari
      • Kilimo,Umwagiliaji na Ushirika
      • Mifugo na Uvuvi
      • Maji na Udhibiti Majitaka
      • Ujenzi na Zimamoto
      • Mazingira na Udhibiti Taka Ngumu
    • Units
      • Procurement and Supply
      • Sheria
      • Tehama
      • Ukaguzi wa Ndani
      • Nyuki
      • Uchaguzi
  • Fursa na Uwekezaji
  • Huduma
  • Madiwani
    • Orodha ya Waheshimiwa Madiwani
    • Kamati za Kudumu za Hamashauri ya Mbogwe
      • Kamati ya Fedha,Uongozi na Mipango
      • Kamati ya Elimu,Afya Na Maji
      • Kamati ya Maaadili
      • Kamati ya Uchumi,Ujenzi na Mazingira
      • Bodi ya Ajira
      • Alat Mkoa
      • Kamati ya Vileo
      • Kamati ya Kudhibiti Ukimwi(CMAC)
      • Kamati ya Kugawa Ardhi
      • Kamati ya LAVULAK
  • Miradi
    • Project Projection
    • Ongoing Projects
    • Completed Projects
  • Kituo cha Habari
    • Hotuba
    • Picha za Matukio mbalimbali
  • Machapisho
    • Bajeti na Taarifa za Mapato
    • Fomu mbalimbali

Madiwani wa Halmashauri ya Mbogwe Wametakiwa Kutembelea Miradi, Wasisubiri Taarifa Ofisini

Posted on: June 4th, 2018

Madiwani wa halamshauri ya wilaya ya Mbogwe mkoani Geita,

wameshauriwa kufika kujionea miradi ya maendeleo badala ya kupokea

taarifa za watendaji wa kata ofisini.


Wito huo ulitolewa na Kaimu Mhandisi wa maji wilaya ya Mbogwe Suzana

Gogadi kwenye baraza la madiwani baada ya diwani wa kata ya Masumbwe

Shimo Kiyuyu kutoa taarifa ambayo siyo kweli kwa madai kuwa

miundombinu ya kutoa maji safi na salama nimibovu haitoi maji.


Gogadi alisema Miradi ya maji wa shenda – Masumbwe unavituo vya

kutolea maji (DP)20 na vyote vinafanyakazi na miundombinu yake ni

mizuri miongoni mwa vituo hivyo havitumiki kutokana na wananchi

kutumia maji ya visima vifupi.


Diwani wa kata ya Ushirika Daud Mabenga aliunga mkono  hoja ya

mtaalamu na kuwaomba madiwani kuacha tabia ya kusubili taarifa za

maofisa watendaji wakata badala yake wafike kwenye miradi kujionea ili

wanapoletaa taarifa ziwe za kweli.


Awali Diwani wa kata ya Masumbwe Shimo Kiyuyu aliliambia baraza la

madiwani kuwa wakati mradi wa maji Shenda, masumbwe unaanza ulikuwa na

vituo 20 vya kutolea maji lakini kwa sasa ni vituo vinne tu ndiyo

vinafanyakazi vingine vibovu miundombinu yake.


Makamu mwenyekiti wa halmashauri ya Mbobwe Sinzya Nsika alimwomba

Mkurugenzi kuwapatia semina Watendaji wa kata ili taarifa ziwe za

kweli na fupi aliwaomba madiwani kufika kujirizisha miradi ya

maendeleo ili kutoa vutana na wataalamu.


Nsika aliwaomba wataalamu kuwa na ushirikianao na madiwani ili

kuijenga wilaya ya Mbogwe hali ambayo italeta mabadiliko kuanzia ngazi

ya shina hadi wilaya na wananchi wajivunie serikali iliyopo madarakani

badala ya kukosa huduma.




Announcements

  • Watoto wa kike waliokatisha Masomo yao November 01, 2021
  • TANGAZO LA NAFASI ZA KAZI YA USAJILI WA ANWANI ZA MAKAZI March 09, 2022
  • Mfumo wa Maombi ya Kazi kwa Walimu September 06, 2020
  • Ratiba ya Kampeni za Kampeni Jimbo la Mbogwe August 26, 2020
  • View All

Latest News

  • WAENDESHA VIFAA VYA BIOMETRIKI NA WAANDISHI WASAIDIZI WAKIPATA MAFUNZO

    April 29, 2025
  • MAFUNZO YA WAENDESHA VIFAA VYA BIOMETRIKI NA MAFUNZO YA WAANDISHI WASAIDIZI YAMEFANYIKA LEO TAREHE 29 APRILI,2025

    April 29, 2025
  • TAARIFA YA MKAGUZI WA MAHESABU

    June 26, 2024
  • Progamu ya utoaji wa Chakula Mashuleni wilayani Mbogwe

    May 20, 2022
  • View All

Video

UFUNGUZI WA MAJENGO MAPYA NA UPANUZI WA KITUO CHA AFYA CHA MASUMBWE, GEITA
More Videos

Quick Links

  • MKOA WA GEITA
  • WIZARA YA TAMISEMI
  • IKULU YA JAMHURI YA MUUNGANO WA TANZANIA
  • MAMLAKA YA MAPATO TANZANIA(TRA)
  • BARAZA LA MITIHANI LA TAIFA(NECTA)
  • WIZARA YA KATIBA NA SHERIA
  • WIZARA YA ELIMU,SAYANSI NA TKNOLOJIA
  • WIZARA YA FEDHA NA MIPANGO

Related Links

  • Ofisi ya Rais Tawala za Mikoa na Serikali za Mitaa
  • Ofisi ya Rais Utumishi na Utawala bora
  • Mkoa wa Geita

World visitors tracker

world map hits counter

Contact Us

    Mbogwe District council ,Masumbwe-Mbogwe,Geita

    Postal Address: P.O Box 1 Masumbwe

    Telephone: +255734412592

    Mobile: +255734412592

    Email: ded@mbogwedc.go.tz

Other Contacts

   

Visitors Counter

Counter Widgets

    • Privacy Policy
    • Disclamer
    • FAQ
    • Sitemap
    • Service

Copyright ©2016 GWF . All rights reserved.