• complaint |
    • Contact Us |
    • FAQ |
    • Staff Mail |
    • Frequently Asked Questions |
Halmashauri ya Wilaya ya Mbogwe
Halmashauri ya Wilaya ya Mbogwe

The United Republic of Tanzania MBOGWE DISTRICT COUNCIL MBOGWE DISTRICT COUNCIL

  • Home
  • About Us
    • History
    • Vision and Mission
  • Administration
    • Organization Structure
    • Department
      • Administration and human resource
      • Mipango, Takwimu na Ufuatiliaji
      • Finance and Business
      • Social Work
      • Health
      • Ardhi na Mali Asili
      • Elimu Msingi
      • Elimu Sekondari
      • Kilimo,Umwagiliaji na Ushirika
      • Mifugo na Uvuvi
      • Maji na Udhibiti Majitaka
      • Ujenzi na Zimamoto
      • Mazingira na Udhibiti Taka Ngumu
    • Units
      • Procurement and Supply
      • Sheria
      • Tehama
      • Ukaguzi wa Ndani
      • Nyuki
      • Uchaguzi
  • Fursa na Uwekezaji
  • Huduma
  • Madiwani
    • Orodha ya Waheshimiwa Madiwani
    • Kamati za Kudumu za Hamashauri ya Mbogwe
      • Kamati ya Fedha,Uongozi na Mipango
      • Kamati ya Elimu,Afya Na Maji
      • Kamati ya Maaadili
      • Kamati ya Uchumi,Ujenzi na Mazingira
      • Bodi ya Ajira
      • Alat Mkoa
      • Kamati ya Vileo
      • Kamati ya Kudhibiti Ukimwi(CMAC)
      • Kamati ya Kugawa Ardhi
      • Kamati ya LAVULAK
  • Miradi
    • Project Projection
    • Ongoing Projects
    • Completed Projects
  • Kituo cha Habari
    • Hotuba
    • Picha za Matukio mbalimbali
    • SHERIA NDOGO ZA HALMASHAURI
  • Machapisho
    • Bajeti na Taarifa za Mapato
    • Fomu mbalimbali

Kamati ya Pembejeo Wilaya ya Mbogwe yaketi na Kujadili mambo Mbalimbali

Posted on: January 8th, 2026

08 Januari,2026 Kamati ya pembejeo Wilaya ya Mbogwe ikiongozwa na Mkuu wa Wilaya ya Mbogwe Mheshimiwa Sakina Mohamed ambaye ni Mwenyekiti wa Kamati hiyo imekutana kujadili mambo Mbalimbali ili kurahisisha upatikana wa Pembejeo kwa Wakulima.

Mambo yaliyozungumziwa ni pamoja na:
1. Kuhakikisha Mkulima anauziwa Pembejeo zilizo na Ruzuku kupitia Mfumo wa Kidijitali.
2. Mamlaka zenye dhamana ziwasaidie wauzaji wa Pembejeo waliopo Vijijini kuweza kupata Uwakala wa Usambazaji wa Pembejeo zilizo na Ruzuku kupitia Mfumo.
3. Wakulima kuacha dhana Potofu juu ya zoezi la Upimaji Afya ya Udongo.
4. Kila Mkulima ahakikishe anajisajili ili kuweza kupata pembejeo za Ruzuku kupitia Mfumo pamoja na
5. Utoaji wa Elimu juu ya matumizi sahihi ya Pembejeo za Kilimo.

Kikao hiki kimekutanisha Wadau Mbalimbali wa Kilimo ikiwemo Mamlaka ya Kusimamia na Kudhibiti Ubora wa Mbolea(TFRA),Mamlaka ya Kusimamia na Kudhibiti Ubora wa Mbegu(TOSCI),Mamlaka ya Usimamizi wa Ubora wa Afya ya  Mimea(TPHPA),Makapuni ya Mbolea,Wadau toka Benki Mbalimbali,Chama Kikuu cha Ushirika,Maafisa Ugani Kutoka Makao Makuu ya Halmashauri,Wa Kata na Vijiji pamoja na Wakulima Wawakilishi kutoka Kata Mbalimbali.

Kikao hiki kimefanyika katika Ukumbi wa Mikutano uliopo Ofisi za Chama Kikuu cha Ushirika (Kagri) Kata ya Nyakafuru.



Picha za Wadau Mbalimbali walio hudhuria Kikao hicho

Announcements

  • TANGAZO LA KUITWA KWENYE MAFUNZO YA UKARANI October 23, 2025
  • MAJINA YA USAILI HALMASHAURI YA WILAYA YA MBOGWE August 22, 2022
  • MAJINA YA USAILI HALMASHAURI YA WILAYA YA MBOGWE August 22, 2022
  • MAJINA YA USAILI HALMASHAURI YA WILAYA YA MBOGWE August 22, 2022
  • View All

Latest News

  • Kamati ya Pembejeo Wilaya ya Mbogwe yaketi na Kujadili mambo Mbalimbali

    January 08, 2026
  • Salam za Mwaka Mpya

    December 31, 2025
  • Salam za Mwaka Mpya

    December 31, 2025
  • WAHESHIMIWA MADIWANI WALA KIAPO

    December 03, 2025
  • View All

Video

UFUNGUZI WA MAJENGO MAPYA NA UPANUZI WA KITUO CHA AFYA CHA MASUMBWE, GEITA
More Videos

Quick Links

  • MKOA WA GEITA
  • WIZARA YA TAMISEMI
  • IKULU YA JAMHURI YA MUUNGANO WA TANZANIA
  • MAMLAKA YA MAPATO TANZANIA(TRA)
  • BARAZA LA MITIHANI LA TAIFA(NECTA)
  • WIZARA YA KATIBA NA SHERIA
  • WIZARA YA ELIMU,SAYANSI NA TKNOLOJIA
  • WIZARA YA FEDHA NA MIPANGO

Related Links

  • Ofisi ya Rais Tawala za Mikoa na Serikali za Mitaa
  • Ofisi ya Rais Utumishi na Utawala bora
  • Mkoa wa Geita

World visitors tracker

world map hits counter

Contact Us

    Mbogwe District council ,Masumbwe-Mbogwe,Geita

    Postal Address: P.O Box 1 Masumbwe

    Telephone: +255734412592

    Mobile: +255734412592

    Email: ded@mbogwedc.go.tz

Other Contacts

   

Visitors Counter

Counter Widgets

    • Privacy Policy
    • Disclamer
    • FAQ
    • Sitemap
    • Service

Copyright ©2016 GWF . All rights reserved.