• complaint |
    • Contact Us |
    • FAQ |
    • Staff Mail |
    • Frequently Asked Questions |
Halmashauri ya Wilaya ya Mbogwe
Halmashauri ya Wilaya ya Mbogwe

The United Republic of Tanzania MBOGWE DISTRICT COUNCIL MBOGWE DISTRICT COUNCIL

  • Home
  • About Us
    • History
    • Vision and Mission
  • Administration
    • Organization Structure
    • Department
      • Administration and human resource
      • Mipango, Takwimu na Ufuatiliaji
      • Finance and Business
      • Social Work
      • Health
      • Ardhi na Mali Asili
      • Elimu Msingi
      • Elimu Sekondari
      • Kilimo,Umwagiliaji na Ushirika
      • Mifugo na Uvuvi
      • Maji na Udhibiti Majitaka
      • Ujenzi na Zimamoto
      • Mazingira na Udhibiti Taka Ngumu
    • Units
      • Procurement and Supply
      • Sheria
      • Tehama
      • Ukaguzi wa Ndani
      • Nyuki
      • Uchaguzi
  • Fursa na Uwekezaji
  • Huduma
  • Madiwani
    • Orodha ya Waheshimiwa Madiwani
    • Kamati za Kudumu za Hamashauri ya Mbogwe
      • Kamati ya Fedha,Uongozi na Mipango
      • Kamati ya Elimu,Afya Na Maji
      • Kamati ya Maaadili
      • Kamati ya Uchumi,Ujenzi na Mazingira
      • Bodi ya Ajira
      • Alat Mkoa
      • Kamati ya Vileo
      • Kamati ya Kudhibiti Ukimwi(CMAC)
      • Kamati ya Kugawa Ardhi
      • Kamati ya LAVULAK
  • Miradi
    • Project Projection
    • Ongoing Projects
    • Completed Projects
  • Kituo cha Habari
    • Hotuba
    • Picha za Matukio mbalimbali
  • Machapisho
    • Bajeti na Taarifa za Mapato
    • Fomu mbalimbali

ISANJABADUGU Wamekabidhi Vitendea Kazi

Posted on: September 29th, 2017

ISANJABADUGU WAMEKABIDHI VITENDEA KAZI KWA HALMASHAURI YA WILAYA YA MBOGWE.

Mwenyekiti wa Halmashauri ya Wilaya ya Mbogwe  Mh Vicent Busiga.amepokea vinakilishi vitatu vyenye thamani ya Tsh 3,000,000  kutoka kwenye kikundi  cha  wachimbaji wadogo wadogo kinachoitwa Isanjabadugu kilichopo kwenye  kata Nyakafulu wilayani Mbogwe.

Akiongea wakati wa makabidhiano, Mwenyekiti wa halmashauri amemshukuru Mungu kwa Neema ya machimbo mapya ya dhahabu yaliyogundulika hivi karibuni katika kata ya nyakafulu kwa kuwa  ni neema ya pekee nakuwataka wachimbaji hao kusimamia vizuri eneo hilo na wahakikishe wanalipa kodi ya serikali kama inavyotakiwa,vilevile mwenyekiti amewataka waendelee kuihudumia jamii inayowazunguka na kuendelea kuunga mkono juhudi za maendeleo ya wilaya hii kwani Wilaya bado ni changa na inakabiliwa na changamoto nyingi.

Wakati huo huo, Mwenyekiti wa kikundi hicho Bw Joseph  Katemi Watwa, amesema wametoa msaada huo wa vinakilishi baada ya kutembelea ofisi za halmashauri na kugundua kuwa ofisi hizo zinakabiliwa na changamoto kubwa ya vitendea kazi vikiwemo vinakilishi hivyo wakaamua kuchuka hatua ya kutoa msaada wa vifaa hivyo ili kupunguza changamoto hiyo. Bw Joseph ameendelea kusema kuwa wataendelea kutoa ushirikiano wa kutosha kwenye shughuli zote za maendeleo ya wilaya pamoja na kulipa kodi zote za serika

 Mkurugenzi Mtendaji wa Halmashauri  Elias Kayandabila ametoa shukrani kwa wachimbaji hao na kuwaomba waendelee kuunga mkono shughuli za maendeleo kwenye wilaya hii kwani wilaya bado ni changa na inakabiliwa na changamoto nyingi.





Announcements

  • Watoto wa kike waliokatisha Masomo yao November 01, 2021
  • TANGAZO LA NAFASI ZA KAZI YA USAJILI WA ANWANI ZA MAKAZI March 09, 2022
  • Mfumo wa Maombi ya Kazi kwa Walimu September 06, 2020
  • Ratiba ya Kampeni za Kampeni Jimbo la Mbogwe August 26, 2020
  • View All

Latest News

  • WAENDESHA VIFAA VYA BIOMETRIKI NA WAANDISHI WASAIDIZI WAKIPATA MAFUNZO

    April 29, 2025
  • MAFUNZO YA WAENDESHA VIFAA VYA BIOMETRIKI NA MAFUNZO YA WAANDISHI WASAIDIZI YAMEFANYIKA LEO TAREHE 29 APRILI,2025

    April 29, 2025
  • TAARIFA YA MKAGUZI WA MAHESABU

    June 26, 2024
  • Progamu ya utoaji wa Chakula Mashuleni wilayani Mbogwe

    May 20, 2022
  • View All

Video

UFUNGUZI WA MAJENGO MAPYA NA UPANUZI WA KITUO CHA AFYA CHA MASUMBWE, GEITA
More Videos

Quick Links

  • MKOA WA GEITA
  • WIZARA YA TAMISEMI
  • IKULU YA JAMHURI YA MUUNGANO WA TANZANIA
  • MAMLAKA YA MAPATO TANZANIA(TRA)
  • BARAZA LA MITIHANI LA TAIFA(NECTA)
  • WIZARA YA KATIBA NA SHERIA
  • WIZARA YA ELIMU,SAYANSI NA TKNOLOJIA
  • WIZARA YA FEDHA NA MIPANGO

Related Links

  • Ofisi ya Rais Tawala za Mikoa na Serikali za Mitaa
  • Ofisi ya Rais Utumishi na Utawala bora
  • Mkoa wa Geita

World visitors tracker

world map hits counter

Contact Us

    Mbogwe District council ,Masumbwe-Mbogwe,Geita

    Postal Address: P.O Box 1 Masumbwe

    Telephone: +255734412592

    Mobile: +255734412592

    Email: ded@mbogwedc.go.tz

Other Contacts

   

Visitors Counter

Counter Widgets

    • Privacy Policy
    • Disclamer
    • FAQ
    • Sitemap
    • Service

Copyright ©2016 GWF . All rights reserved.