• complaint |
    • Contact Us |
    • FAQ |
    • Staff Mail |
    • Frequently Asked Questions |
Halmashauri ya Wilaya ya Mbogwe
Halmashauri ya Wilaya ya Mbogwe

The United Republic of Tanzania MBOGWE DISTRICT COUNCIL MBOGWE DISTRICT COUNCIL

  • Home
  • About Us
    • History
    • Vision and Mission
  • Administration
    • Organization Structure
    • Department
      • Administration and human resource
      • Mipango, Takwimu na Ufuatiliaji
      • Finance and Business
      • Social Work
      • Health
      • Ardhi na Mali Asili
      • Elimu Msingi
      • Elimu Sekondari
      • Kilimo,Umwagiliaji na Ushirika
      • Mifugo na Uvuvi
      • Maji na Udhibiti Majitaka
      • Ujenzi na Zimamoto
      • Mazingira na Udhibiti Taka Ngumu
    • Units
      • Procurement and Supply
      • Sheria
      • Tehama
      • Ukaguzi wa Ndani
      • Nyuki
      • Uchaguzi
  • Fursa na Uwekezaji
  • Huduma
  • Madiwani
    • Orodha ya Waheshimiwa Madiwani
    • Kamati za Kudumu za Hamashauri ya Mbogwe
      • Kamati ya Fedha,Uongozi na Mipango
      • Kamati ya Elimu,Afya Na Maji
      • Kamati ya Maaadili
      • Kamati ya Uchumi,Ujenzi na Mazingira
      • Bodi ya Ajira
      • Alat Mkoa
      • Kamati ya Vileo
      • Kamati ya Kudhibiti Ukimwi(CMAC)
      • Kamati ya Kugawa Ardhi
      • Kamati ya LAVULAK
  • Miradi
    • Project Projection
    • Ongoing Projects
    • Completed Projects
  • Kituo cha Habari
    • Hotuba
    • Picha za Matukio mbalimbali
  • Machapisho
    • Bajeti na Taarifa za Mapato
    • Fomu mbalimbali

Dc Mbogwe Atoa Siku Saba Kupata Idadi ya Watoro Mashuleni

Posted on: April 19th, 2018

DC MBOGWE ATOA SIKU SABA KUPATA IDADI YA WATORO MASHULENI

Mkuu wa Wilaya ya Mbogwe Mhe, Martha Mkupasa ametoa siku saba kwa Maafisa Elimu kumuandalia ripoti ya utoro mashuleni, idadi ya watoto waliopata mimba wakiwa shuleni, pamoja na kubaini wazazi wote wanaosababisha watoto kutokufika shuleni.

Mkuu wa Wilaya ameyaongea hayo wakati wa kikao cha Kamati ya Ulinzi na Usalama ya Wilaya na wananchi wa Tarafa za Lulembela na Mbogwe kilichofanyika jana kwenye Tarafa husika kikiwa na lengo la kuwakumbusha wazazi na walezi wajibu wao wa kuhakikisha wanafunzi wanahudhuria shuleni pamoja na maswala ya ulinzi na usalama kwa ujumla.

Akitoa Elimu kwenye kikao hicho  Afisa Elimu Msingi Samweli Muyemba amesoma waraka wa elimu no 2 wa mwaka 2001 unaohusu uandikishaji wa darasa la kwanza kwa watoto wenye umri wa miaka saba na  waraka wa elimu no 6 wa mwaka 1998 unaohusu kumpa mimba mwanafunzi, kumuozesha mwanafunzi, kusimamia kuandikishwa,kuhudhuria na kuhitimu. Muyemba amesema amesoma waraka huo kwa wazazi ili watakapoanza kutoa adhabu kusiwe na malalamiko na ameahidi kusambaza waraka huo kwa walimu wakuu wote .

Wakati huo huo Mkaguzi Msaidizi wa Uhamiaji Goodluck Shayo  ametoa elimu kuhusu uhamiaji haramu na kuwataka wananchi watoe ushirikiano wanapobaini kuhusu wahamiaji haramu kwani ni kosa la jinai kukaa, kumuajiri au kushirikiana na wahamiaji haramu hivyo wananchi watoe taarifa za wahamiaji hao kuepuka adhabu kwa mujibu wa sheria.



Announcements

  • Watoto wa kike waliokatisha Masomo yao November 01, 2021
  • TANGAZO LA NAFASI ZA KAZI YA USAJILI WA ANWANI ZA MAKAZI March 09, 2022
  • Mfumo wa Maombi ya Kazi kwa Walimu September 06, 2020
  • Ratiba ya Kampeni za Kampeni Jimbo la Mbogwe August 26, 2020
  • View All

Latest News

  • WAENDESHA VIFAA VYA BIOMETRIKI NA WAANDISHI WASAIDIZI WAKIPATA MAFUNZO

    April 29, 2025
  • MAFUNZO YA WAENDESHA VIFAA VYA BIOMETRIKI NA MAFUNZO YA WAANDISHI WASAIDIZI YAMEFANYIKA LEO TAREHE 29 APRILI,2025

    April 29, 2025
  • TAARIFA YA MKAGUZI WA MAHESABU

    June 26, 2024
  • Progamu ya utoaji wa Chakula Mashuleni wilayani Mbogwe

    May 20, 2022
  • View All

Video

UFUNGUZI WA MAJENGO MAPYA NA UPANUZI WA KITUO CHA AFYA CHA MASUMBWE, GEITA
More Videos

Quick Links

  • MKOA WA GEITA
  • WIZARA YA TAMISEMI
  • IKULU YA JAMHURI YA MUUNGANO WA TANZANIA
  • MAMLAKA YA MAPATO TANZANIA(TRA)
  • BARAZA LA MITIHANI LA TAIFA(NECTA)
  • WIZARA YA KATIBA NA SHERIA
  • WIZARA YA ELIMU,SAYANSI NA TKNOLOJIA
  • WIZARA YA FEDHA NA MIPANGO

Related Links

  • Ofisi ya Rais Tawala za Mikoa na Serikali za Mitaa
  • Ofisi ya Rais Utumishi na Utawala bora
  • Mkoa wa Geita

World visitors tracker

world map hits counter

Contact Us

    Mbogwe District council ,Masumbwe-Mbogwe,Geita

    Postal Address: P.O Box 1 Masumbwe

    Telephone: +255734412592

    Mobile: +255734412592

    Email: ded@mbogwedc.go.tz

Other Contacts

   

Visitors Counter

Counter Widgets

    • Privacy Policy
    • Disclamer
    • FAQ
    • Sitemap
    • Service

Copyright ©2016 GWF . All rights reserved.