• complaint |
    • Contact Us |
    • FAQ |
    • Staff Mail |
    • Frequently Asked Questions |
Halmashauri ya Wilaya ya Mbogwe
Halmashauri ya Wilaya ya Mbogwe

The United Republic of Tanzania MBOGWE DISTRICT COUNCIL MBOGWE DISTRICT COUNCIL

  • Home
  • About Us
    • History
    • Vision and Mission
  • Administration
    • Organization Structure
    • Department
      • Administration and human resource
      • Mipango, Takwimu na Ufuatiliaji
      • Finance and Business
      • Social Work
      • Health
      • Ardhi na Mali Asili
      • Elimu Msingi
      • Elimu Sekondari
      • Kilimo,Umwagiliaji na Ushirika
      • Mifugo na Uvuvi
      • Maji na Udhibiti Majitaka
      • Ujenzi na Zimamoto
      • Mazingira na Udhibiti Taka Ngumu
    • Units
      • Procurement and Supply
      • Sheria
      • Tehama
      • Ukaguzi wa Ndani
      • Nyuki
      • Uchaguzi
  • Fursa na Uwekezaji
  • Huduma
  • Madiwani
    • Orodha ya Waheshimiwa Madiwani
    • Kamati za Kudumu za Hamashauri ya Mbogwe
      • Kamati ya Fedha,Uongozi na Mipango
      • Kamati ya Elimu,Afya Na Maji
      • Kamati ya Maaadili
      • Kamati ya Uchumi,Ujenzi na Mazingira
      • Bodi ya Ajira
      • Alat Mkoa
      • Kamati ya Vileo
      • Kamati ya Kudhibiti Ukimwi(CMAC)
      • Kamati ya Kugawa Ardhi
      • Kamati ya LAVULAK
  • Miradi
    • Project Projection
    • Ongoing Projects
    • Completed Projects
  • Kituo cha Habari
    • Hotuba
    • Picha za Matukio mbalimbali
  • Machapisho
    • Bajeti na Taarifa za Mapato
    • Fomu mbalimbali

WANANCHI WALIOLIPIA CHF

Posted on: January 10th, 2017

WANANCHI  WALIOLIPIA CHF WAHUDUMIWE IPASAVYO.

MBUNGE wa Jimbo la Mbogwe Agustino Masele amemtaka Mganga Mkuu wa Wilaya ya Mbogwe Dr. Erasto Rite kuhakikisha anasimamia huduma  za wananchi wake wote waliochangia huduma ya Afya CHF pindi wakifika kwenye Hospitali, Zahanati na Vituo vya Afya  kutibiwa.

Mh Masele aliyasema hayo akiwa mgeni Rasmi katika hafla fupi ya kukabidhi gari la wagonjwa katika kituo cha afya cha Iboyo  ambako alikabidhi gari hilo kwa niba ya Waziri wa Afya ,maendeleo ya jamii jinsia na watoto Ummy Mwalimu.

Kufuatia hatua hiyo Mh Masele alisema  endapo wananchi hao wakihudumiwa  ipasavyo watakuwa mabalozi wazuri wa kuwahamasisha wenzao kuchangia  huduma hiyo ,na endapo wasipohudumiwa vyema  wananchi hao watakuwa mabalozi wabaya sana  na ndiyo watakuwa kikwazo kikubwa cha mafanikio ya mpango huo.

Sanjali na hilo amemtaka mganga huyo  kukusanya michango hiyo ya Bima ya afya kwa wananchi hasa katika kipindi cha msimu wa mavuno  ambapo kila mwananchi atakuwa na uwezo wa kuchangia bila bughudha.

Mganga mkuu wa wilaya hiyo Erasto Rite akatanabaisha kuwa wananchi wamepata elimu ya kutosha  kuhusu kuchangia huduma hiyo ya CHF .

Dr Rite alitaja kuwa tangu mwaka 2016 mpaka januari 2017 jumla ya kaya 2370 sawa na asilimia  20% ya kaya 11475 wamejiunga na mfuko huo na wananafaidika na matunda hayo .

Aidha Dr Rite  amemuahidi mbunge huyo kuwa  atahakikisha  anasimamia wataalamu wake wote waliochini yake kuhakikisha wanatoa huduma hiyo kwa weledi ili isije ikaleta shida .

Mkurugenzi wa halmashauri ya Mbogwe Elias Kayandabila  baada ya kukabidhiwa ufunguo wa gari na kadi akamuahidi Mbuge Masele  kuwa atahakikisha Gari hilo wanalitunza .

Akaipongeza Wizara ya Afya kwa kuwapatia Gari hilo ambalo mbunge amekuwa msaada mkubwa kwa ufuatiliaji kwani wananchi walitaabika sana kwani umbali wa kutoka vijiji vya Iboya, Ivumwa , Ilolangulu  ni zaidi ya km 50.

Mwenyekiti wa kijiji cha Iboya masanja joseph kwa niaba ya wananchi wenzake  ameishukuru serikali ya awamu ya Tano kwa kuitatua kero hiyo ya usafiri kwani wanawake wajawazito walipata shida wakati mwingine walijifungulia njiani wakiwa kwenye matera ya kukokotwa na Punda, Baiskeli  hali iliyowapelekea kupoteza maisha.

Mwenyekiti huyo alisema  serikali ya kijiji cha Iboya kata ya Mbogwe imetenga Hekta 28 za eneo la Hospitali ambalo serikali iweze kujenga Chuo ama shule ya wauguzi.


Announcements

  • Watoto wa kike waliokatisha Masomo yao November 01, 2021
  • TANGAZO LA NAFASI ZA KAZI YA USAJILI WA ANWANI ZA MAKAZI March 09, 2022
  • Mfumo wa Maombi ya Kazi kwa Walimu September 06, 2020
  • Ratiba ya Kampeni za Kampeni Jimbo la Mbogwe August 26, 2020
  • View All

Latest News

  • WAENDESHA VIFAA VYA BIOMETRIKI NA WAANDISHI WASAIDIZI WAKIPATA MAFUNZO

    April 29, 2025
  • MAFUNZO YA WAENDESHA VIFAA VYA BIOMETRIKI NA MAFUNZO YA WAANDISHI WASAIDIZI YAMEFANYIKA LEO TAREHE 29 APRILI,2025

    April 29, 2025
  • TAARIFA YA MKAGUZI WA MAHESABU

    June 26, 2024
  • Progamu ya utoaji wa Chakula Mashuleni wilayani Mbogwe

    May 20, 2022
  • View All

Video

UFUNGUZI WA MAJENGO MAPYA NA UPANUZI WA KITUO CHA AFYA CHA MASUMBWE, GEITA
More Videos

Quick Links

  • MKOA WA GEITA
  • WIZARA YA TAMISEMI
  • IKULU YA JAMHURI YA MUUNGANO WA TANZANIA
  • MAMLAKA YA MAPATO TANZANIA(TRA)
  • BARAZA LA MITIHANI LA TAIFA(NECTA)
  • WIZARA YA KATIBA NA SHERIA
  • WIZARA YA ELIMU,SAYANSI NA TKNOLOJIA
  • WIZARA YA FEDHA NA MIPANGO

Related Links

  • Ofisi ya Rais Tawala za Mikoa na Serikali za Mitaa
  • Ofisi ya Rais Utumishi na Utawala bora
  • Mkoa wa Geita

World visitors tracker

world map hits counter

Contact Us

    Mbogwe District council ,Masumbwe-Mbogwe,Geita

    Postal Address: P.O Box 1 Masumbwe

    Telephone: +255734412592

    Mobile: +255734412592

    Email: ded@mbogwedc.go.tz

Other Contacts

   

Visitors Counter

Counter Widgets

    • Privacy Policy
    • Disclamer
    • FAQ
    • Sitemap
    • Service

Copyright ©2016 GWF . All rights reserved.