04 June 2025,Mkurugenzi Mtendaji wa Halmashauri ya Wilaya Ya Mbogwe Adv. Edwin B. Lusa ameongoza wajumbe wa Menejimenti ya Halmashauri ya Wilaya ya Mbogwe (CMT) Katika Ziara ya kukagua Miradi ya Maendeleo inayoendelea kutekelezwa katika Halmashauri ya Wilaya ya Mbogwe
Miradi iliyotembelewa ni pamoja na
1. Ukamilishaji wa Jengo la Makao Makuu ya Halmashauri ya Wilaya ya Mbogwe iliyopo kata ya Mbogwe.
2. Ujenzi wa Shule ya Amali iliyopo kata ya Mbogwe.
Ukamilishaji wa Jengo la Makao Makuu ya Halmashauri ya Wilaya ya Mbogwe iliyopo Katika Kata ya Mbogwe
Ujenzi wa Shule ya Sekondari Amali iliyopo Kata ya Mbogwe
Mbogwe District council ,Masumbwe-Mbogwe,Geita
Postal Address: P.O Box 1 Masumbwe
Telephone: +255734412592
Mobile: +255734412592
Email: ded@mbogwedc.go.tz
Copyright ©2016 GWF . All rights reserved.