• complaint |
    • Contact Us |
    • FAQ |
    • Staff Mail |
    • Frequently Asked Questions |
Halmashauri ya Wilaya ya Mbogwe
Halmashauri ya Wilaya ya Mbogwe

The United Republic of Tanzania MBOGWE DISTRICT COUNCIL MBOGWE DISTRICT COUNCIL

  • Home
  • About Us
    • History
    • Vision and Mission
  • Administration
    • Organization Structure
    • Department
      • Administration and human resource
      • Mipango, Takwimu na Ufuatiliaji
      • Finance and Business
      • Social Work
      • Health
      • Ardhi na Mali Asili
      • Elimu Msingi
      • Elimu Sekondari
      • Kilimo,Umwagiliaji na Ushirika
      • Mifugo na Uvuvi
      • Maji na Udhibiti Majitaka
      • Ujenzi na Zimamoto
      • Mazingira na Udhibiti Taka Ngumu
    • Units
      • Procurement and Supply
      • Sheria
      • Tehama
      • Ukaguzi wa Ndani
      • Nyuki
      • Uchaguzi
  • Fursa na Uwekezaji
  • Huduma
  • Madiwani
    • Orodha ya Waheshimiwa Madiwani
    • Kamati za Kudumu za Hamashauri ya Mbogwe
      • Kamati ya Fedha,Uongozi na Mipango
      • Kamati ya Elimu,Afya Na Maji
      • Kamati ya Maaadili
      • Kamati ya Uchumi,Ujenzi na Mazingira
      • Bodi ya Ajira
      • Alat Mkoa
      • Kamati ya Vileo
      • Kamati ya Kudhibiti Ukimwi(CMAC)
      • Kamati ya Kugawa Ardhi
      • Kamati ya LAVULAK
  • Miradi
    • Project Projection
    • Ongoing Projects
    • Completed Projects
  • Kituo cha Habari
    • Hotuba
    • Picha za Matukio mbalimbali
  • Machapisho
    • Bajeti na Taarifa za Mapato
    • Fomu mbalimbali

shule za msingi

Posted on: January 10th, 2017

WANAKAMATI WA SHULE ZA MSINGI  WILAYANI MBOGWE WAFUNDWA.

KWA muda mrefu  kamati za shule za msingi zilikuwa zikiendesha shughuli zake bila ya kuelewa majukumu yao hali ambayo ilisababisha migogoro na migongano kati ya walimu na wanakamati hao.

Serikali kupitia Wizara ya Elimu na mafunzo ya ufundi baada ya kubaini mapungufu hayo ikaamua kutenga fungu la uendeshaji wa mafunzo kwa wasimamizi wa shule yaani Kamati za shule ya kuwajengea uwezo.

Wilayani Mbogwe mkoani Geita wameendesha mafunzo ya wiki mbili akiongea na waandishi wa habari ofisini kwake Afisa Elimu msingi Samwel Muyemba  amesema jumla ya washiriki 1027 toka shule za msingi 84 kwa kata 19walipata mafunzao ya kuwajengea uwezo wa uendeshaji wa majukumu ya kamati za shule.

Mwl Muyemba amesema mfunzo hayo yaliendeshwa kwa muda wa wiki mbili katika vituo saba(07)vya shule za sekondari za masumbwe ,Nyakafuru,Ilolangulu, Lugunga na katika shule za msingi za Lulembela,Itimbya na Isangijo.

Afisa huyo amesema Mada mbalimbali zilitolewa kwa washiriki ambazo ni Uongozi,Muundo wa majukumu ya Kamati za shule,usimamizi wa Sera na sheria za uendeshaji wa Elimu,usimamizi wa Raslimali za shule,uendeshaji wa mpango wa maendeleo ya shule

Amesema mahudhulio yalikuwa mazuri kwa washiriki ambapo asilimia 99%walihudhulia mafunzo pia mitihani mablimbali ilitolewakwa washiriki.

Washiriki wa mafunzo hayo ambao ni wenyeviti wa kamati na wanakamati za shule wameipongeza serikali ya awamu ya Tano inayoongozwa na Rais John Magufuli kwa kuona umuhimu wa kuwapatia  mafunzo hayo.

Wamesema baada ya kupatiwa mafunzo hayo wameeiva na wanamuahidi kuwa watazisimamia shule kwa weledi na pia wametambua kuwa shule hizo ni mali yao wananchi ,ila wameomba mafunzo hayo yawe kila mwaka kwa kukumbushana majukumu .



Announcements

  • Watoto wa kike waliokatisha Masomo yao November 01, 2021
  • TANGAZO LA NAFASI ZA KAZI YA USAJILI WA ANWANI ZA MAKAZI March 09, 2022
  • Mfumo wa Maombi ya Kazi kwa Walimu September 06, 2020
  • Ratiba ya Kampeni za Kampeni Jimbo la Mbogwe August 26, 2020
  • View All

Latest News

  • WAENDESHA VIFAA VYA BIOMETRIKI NA WAANDISHI WASAIDIZI WAKIPATA MAFUNZO

    April 29, 2025
  • MAFUNZO YA WAENDESHA VIFAA VYA BIOMETRIKI NA MAFUNZO YA WAANDISHI WASAIDIZI YAMEFANYIKA LEO TAREHE 29 APRILI,2025

    April 29, 2025
  • TAARIFA YA MKAGUZI WA MAHESABU

    June 26, 2024
  • Progamu ya utoaji wa Chakula Mashuleni wilayani Mbogwe

    May 20, 2022
  • View All

Video

UFUNGUZI WA MAJENGO MAPYA NA UPANUZI WA KITUO CHA AFYA CHA MASUMBWE, GEITA
More Videos

Quick Links

  • MKOA WA GEITA
  • WIZARA YA TAMISEMI
  • IKULU YA JAMHURI YA MUUNGANO WA TANZANIA
  • MAMLAKA YA MAPATO TANZANIA(TRA)
  • BARAZA LA MITIHANI LA TAIFA(NECTA)
  • WIZARA YA KATIBA NA SHERIA
  • WIZARA YA ELIMU,SAYANSI NA TKNOLOJIA
  • WIZARA YA FEDHA NA MIPANGO

Related Links

  • Ofisi ya Rais Tawala za Mikoa na Serikali za Mitaa
  • Ofisi ya Rais Utumishi na Utawala bora
  • Mkoa wa Geita

World visitors tracker

world map hits counter

Contact Us

    Mbogwe District council ,Masumbwe-Mbogwe,Geita

    Postal Address: P.O Box 1 Masumbwe

    Telephone: +255734412592

    Mobile: +255734412592

    Email: ded@mbogwedc.go.tz

Other Contacts

   

Visitors Counter

Counter Widgets

    • Privacy Policy
    • Disclamer
    • FAQ
    • Sitemap
    • Service

Copyright ©2016 GWF . All rights reserved.