• complaint |
    • Contact Us |
    • FAQ |
    • Staff Mail |
    • Frequently Asked Questions |
Halmashauri ya Wilaya ya Mbogwe
Halmashauri ya Wilaya ya Mbogwe

The United Republic of Tanzania MBOGWE DISTRICT COUNCIL MBOGWE DISTRICT COUNCIL

  • Home
  • About Us
    • History
    • Vision and Mission
  • Administration
    • Organization Structure
    • Department
      • Administration and human resource
      • Mipango, Takwimu na Ufuatiliaji
      • Finance and Business
      • Social Work
      • Health
      • Ardhi na Mali Asili
      • Elimu Msingi
      • Elimu Sekondari
      • Kilimo,Umwagiliaji na Ushirika
      • Mifugo na Uvuvi
      • Maji na Udhibiti Majitaka
      • Ujenzi na Zimamoto
      • Mazingira na Udhibiti Taka Ngumu
    • Units
      • Procurement and Supply
      • Sheria
      • Tehama
      • Ukaguzi wa Ndani
      • Nyuki
      • Uchaguzi
  • Fursa na Uwekezaji
  • Huduma
  • Madiwani
    • Orodha ya Waheshimiwa Madiwani
    • Kamati za kudumu
      • Kamati ya fedha, Uongozi na Mipango
      • Kamati ya Uchumi,Ujenzi na mazingira
      • Kamati ya Elimu Afya na Maji
  • Miradi
    • Project Projection
    • Ongoing Projects
    • Completed Projects
  • Kituo cha Habari
    • Hotuba
    • Picha za Matukio mbalimbali
  • Machapisho
    • Bajeti na Taarifa za Mapato
    • Fomu mbalimbali

NGURUWE PORI

Posted on: January 31st, 2017

WANANCHI WA WILAYA YA MBOGWE WALALAMIKIA NGURUWE PORI

Wananchi wa kata ya Bukandwe Wilayani Mbogwe Mkoa wa Geita  wako hatarini kukumbwa na Baa la njaa  endapo serikali haitachukua hatua za maksudi kukabiliana na Nguruwe Pori ambao wamekuwa wakivamia na kula mazazo ya chakula kama  vile mihogo ,viazi na mahindi mashambani mwao.

Diwani wa kata ya Bukandwe Joseph Kilonja ametoa malalamiko yake kwenye baraza la madiwani la awali akiwasilisha hali ya usalama wa kata hiyo. Kilonja ameilalamikia serikalini kutokuchukua hatua dhidi ya wanyama hawa  waharibifu wa mazao.


Akiunga mkono na kuitetea hoja hiyo diwani wa kata ya Ushirika Daudi Mabenga  anasema swala la nguruwe pori kwenye kata ya Bukandwe limekuwa tatizo la muda mrefu ameiomba serikali kuingilia kati swala hilo ili kuiokoa jamii na baa la njaa

Akijibu hoja hiyo kwa madiwani kwa niaba ya Mkurugenzi mtendaji  afisa Mifugo wilaya hiyo Nicholaus Ngulinzila alisema tatizo la nguruwe pori linafahamika na tayari wameshaanza kuchukua hatua muhimu za kumaliza kabisa tatizo hilo



Announcements

  • Watoto wa kike waliokatisha Masomo yao November 01, 2021
  • TANGAZO LA NAFASI ZA KAZI YA USAJILI WA ANWANI ZA MAKAZI March 09, 2022
  • Mfumo wa Maombi ya Kazi kwa Walimu September 06, 2020
  • Ratiba ya Kampeni za Kampeni Jimbo la Mbogwe August 26, 2020
  • View All

Latest News

  • Progamu ya utoaji wa Chakula Mashuleni wilayani Mbogwe

    May 20, 2022
  • Maadhimisho ya Miaka 58 ya Muungano wa Tanganyika na Zanzibar

    April 26, 2022
  • Maadhimisho ya Miaka 58 ya Muungano wa Tanganyika na Zanzibar

    April 26, 2022
  • Mkurugenzi Mtendaji Bi Saada Selemani Mwaruka katika Sherehe za Maadhimisho ya Miaka 58 ya Muungano wa Tanganyika na Zanzibar

    April 26, 2022
  • View All

Video

UFUNGUZI WA MAJENGO MAPYA NA UPANUZI WA KITUO CHA AFYA CHA MASUMBWE, GEITA
More Videos

Quick Links

  • MKOA WA GEITA
  • WIZARA YA TAMISEMI
  • IKULU YA JAMHURI YA MUUNGANO WA TANZANIA
  • MAMLAKA YA MAPATO TANZANIA(TRA)
  • BARAZA LA MITIHANI LA TAIFA(NECTA)
  • WIZARA YA KATIBA NA SHERIA
  • WIZARA YA ELIMU,SAYANSI NA TKNOLOJIA
  • WIZARA YA FEDHA NA MIPANGO

Related Links

  • Ofisi ya Rais Tawala za Mikoa na Serikali za Mitaa
  • Ofisi ya Rais Utumishi na Utawala bora
  • Mkoa wa Geita

World visitors tracker

world map hits counter

Contact Us

    Mbogwe District council ,Masumbwe-Mbogwe,Geita

    Postal Address: P.O Box 1 Masumbwe

    Telephone: +255734412592

    Mobile: +255734412592

    Email: ded@mbogwedc.go.tz

Other Contacts

   

Visitors Counter

Counter Widgets

    • Privacy Policy
    • Disclamer
    • FAQ
    • Sitemap
    • Service

Copyright ©2016 GWF . All rights reserved.