• complaint |
    • Contact Us |
    • FAQ |
    • Staff Mail |
    • Frequently Asked Questions |
Halmashauri ya Wilaya ya Mbogwe
Halmashauri ya Wilaya ya Mbogwe

The United Republic of Tanzania MBOGWE DISTRICT COUNCIL MBOGWE DISTRICT COUNCIL

  • Home
  • About Us
    • History
    • Vision and Mission
  • Administration
    • Organization Structure
    • Department
      • Administration and human resource
      • Mipango, Takwimu na Ufuatiliaji
      • Finance and Business
      • Social Work
      • Health
      • Ardhi na Mali Asili
      • Elimu Msingi
      • Elimu Sekondari
      • Kilimo,Umwagiliaji na Ushirika
      • Mifugo na Uvuvi
      • Maji na Udhibiti Majitaka
      • Ujenzi na Zimamoto
      • Mazingira na Udhibiti Taka Ngumu
    • Units
      • Procurement and Supply
      • Sheria
      • Tehama
      • Ukaguzi wa Ndani
      • Nyuki
      • Uchaguzi
  • Fursa na Uwekezaji
  • Huduma
  • Madiwani
    • Orodha ya Waheshimiwa Madiwani
    • Kamati za Kudumu za Hamashauri ya Mbogwe
      • Kamati ya Fedha,Uongozi na Mipango
      • Kamati ya Elimu,Afya Na Maji
      • Kamati ya Maaadili
      • Kamati ya Uchumi,Ujenzi na Mazingira
      • Bodi ya Ajira
      • Alat Mkoa
      • Kamati ya Vileo
      • Kamati ya Kudhibiti Ukimwi(CMAC)
      • Kamati ya Kugawa Ardhi
      • Kamati ya LAVULAK
  • Miradi
    • Project Projection
    • Ongoing Projects
    • Completed Projects
  • Kituo cha Habari
    • Hotuba
    • Picha za Matukio mbalimbali
  • Machapisho
    • Bajeti na Taarifa za Mapato
    • Fomu mbalimbali

Mkuu wa Mkoa wa Geita Ahimiza Wananchi Kushiriki Kwenye Shughuli za Maendeleo

Posted on: May 5th, 2018

Mkuu wa Mkoa wa Geita Mhandisi Gabriel Robert amewataka wananchi kushiriki katika maendeleo ya Wilaya zao kwani maendeleo yataletwa na wananchi wenyewe na hakuna mtu kutoka nje atakuja kuwaletea maendeleo.

Mhandisi Robart ameyamesema hayo alipofanya ziara ya kikazi Wilayani Mbogwe, Kata ya Ikobe  kijiji cha Kagongo, baada ya wananchi hao kutokuwa na Zahanati wala shule ya msingi hivyo kupelekea watoto  kufuata elimu mbali na wengine kutokwenda shule. Katika  Kijiji hicho  Mkuu wa Mkoa aliendesha harambee ya ununuzi wa kiwanja cha kujenga Zahanati  jumla ya milioni moja ilipatikana ambapo laki tano itatumika kununua kiwanja na laki tano zitaanza ujenzi wa zahanati hiyo.

Akiwa katika ziara yake Mkuu wa Mkoa alishiriki kwenye zoezi la kuchimba msingi wa Zahanati ya Kijiji cha Msendamila, pia  alitoa maagizo kuwa ndani ya wiki mbili Vijiji vyote vya Mkoa wa Geita viwe  vimemamaliza kuchimba msingi ya Zahanati.

Pamoja na hayo mkuu wa wilaya ya Mbogwe Mhe.  Martha Mkupasi amewataka wananchi wa Kata ya Iponya kujshirikiana na kuleta maendeleo kwani maendeleo hayana vyama wala ukabila, Mkupasi  ameyasema hayo wakati wa kuzindua ujenzi  wa zahanati ya kijiji cha bunyihuna. Kata ya Iponya ina jumla ya vijiji 6  na ina Zahanati moja tu ambayo inahudumia wananchi wa Kata  nzima.

Wananchi wa Iponya wamempongeza Mkuu wa Wilaya kwa Juhudi anazofanya za kuleta maendeleo ya Wilaya ya Mbogwe, wananchi hao wamesema hawajawahi kutembelewa na Mkuu wa Wilaya tangu kuanzishwa kwa kata hiyo, huvyo wamemshukuru Mkuu wa Wilaya kwa kuwakumbuka.




Announcements

  • Watoto wa kike waliokatisha Masomo yao November 01, 2021
  • TANGAZO LA NAFASI ZA KAZI YA USAJILI WA ANWANI ZA MAKAZI March 09, 2022
  • Mfumo wa Maombi ya Kazi kwa Walimu September 06, 2020
  • Ratiba ya Kampeni za Kampeni Jimbo la Mbogwe August 26, 2020
  • View All

Latest News

  • WAENDESHA VIFAA VYA BIOMETRIKI NA WAANDISHI WASAIDIZI WAKIPATA MAFUNZO

    April 29, 2025
  • MAFUNZO YA WAENDESHA VIFAA VYA BIOMETRIKI NA MAFUNZO YA WAANDISHI WASAIDIZI YAMEFANYIKA LEO TAREHE 29 APRILI,2025

    April 29, 2025
  • TAARIFA YA MKAGUZI WA MAHESABU

    June 26, 2024
  • Progamu ya utoaji wa Chakula Mashuleni wilayani Mbogwe

    May 20, 2022
  • View All

Video

UFUNGUZI WA MAJENGO MAPYA NA UPANUZI WA KITUO CHA AFYA CHA MASUMBWE, GEITA
More Videos

Quick Links

  • MKOA WA GEITA
  • WIZARA YA TAMISEMI
  • IKULU YA JAMHURI YA MUUNGANO WA TANZANIA
  • MAMLAKA YA MAPATO TANZANIA(TRA)
  • BARAZA LA MITIHANI LA TAIFA(NECTA)
  • WIZARA YA KATIBA NA SHERIA
  • WIZARA YA ELIMU,SAYANSI NA TKNOLOJIA
  • WIZARA YA FEDHA NA MIPANGO

Related Links

  • Ofisi ya Rais Tawala za Mikoa na Serikali za Mitaa
  • Ofisi ya Rais Utumishi na Utawala bora
  • Mkoa wa Geita

World visitors tracker

world map hits counter

Contact Us

    Mbogwe District council ,Masumbwe-Mbogwe,Geita

    Postal Address: P.O Box 1 Masumbwe

    Telephone: +255734412592

    Mobile: +255734412592

    Email: ded@mbogwedc.go.tz

Other Contacts

   

Visitors Counter

Counter Widgets

    • Privacy Policy
    • Disclamer
    • FAQ
    • Sitemap
    • Service

Copyright ©2016 GWF . All rights reserved.