• complaint |
    • Contact Us |
    • FAQ |
    • Staff Mail |
    • Frequently Asked Questions |
Halmashauri ya Wilaya ya Mbogwe
Halmashauri ya Wilaya ya Mbogwe

The United Republic of Tanzania MBOGWE DISTRICT COUNCIL MBOGWE DISTRICT COUNCIL

  • Home
  • About Us
    • History
    • Vision and Mission
  • Administration
    • Organization Structure
    • Department
      • Administration and human resource
      • Mipango, Takwimu na Ufuatiliaji
      • Finance and Business
      • Social Work
      • Health
      • Ardhi na Mali Asili
      • Elimu Msingi
      • Elimu Sekondari
      • Kilimo,Umwagiliaji na Ushirika
      • Mifugo na Uvuvi
      • Maji na Udhibiti Majitaka
      • Ujenzi na Zimamoto
      • Mazingira na Udhibiti Taka Ngumu
    • Units
      • Procurement and Supply
      • Sheria
      • Tehama
      • Ukaguzi wa Ndani
      • Nyuki
      • Uchaguzi
  • Fursa na Uwekezaji
  • Huduma
  • Madiwani
    • Orodha ya Waheshimiwa Madiwani
    • Kamati za Kudumu za Hamashauri ya Mbogwe
      • Kamati ya Fedha,Uongozi na Mipango
      • Kamati ya Elimu,Afya Na Maji
      • Kamati ya Maaadili
      • Kamati ya Uchumi,Ujenzi na Mazingira
      • Bodi ya Ajira
      • Alat Mkoa
      • Kamati ya Vileo
      • Kamati ya Kudhibiti Ukimwi(CMAC)
      • Kamati ya Kugawa Ardhi
      • Kamati ya LAVULAK
  • Miradi
    • Project Projection
    • Ongoing Projects
    • Completed Projects
  • Kituo cha Habari
    • Hotuba
    • Picha za Matukio mbalimbali
  • Machapisho
    • Bajeti na Taarifa za Mapato
    • Fomu mbalimbali

Madiwani wa halmashauri ya Wilaya ya Mbogwe wapitisha budget 2018/2019

Posted on: February 13th, 2018

Madiwani Mbogwe Wapitisha Bajeti kwa Mwaka 2018/2019

Baraza la madiwani wa Halmashauri ya Wilaya ya Mbogwe Limejadili na kuridhia kupitisha rasimu ya bajeti yenye zaidi ya shilingi 31,292,669,600/= ikiwa ni makadirio ya mapato na matumizi kwa mwaka ujao wa Fedha 2018/2019 ambapo makusanyo ya ndani ya Halmashauri ni bilioni 1,377,965,900 kati ya fedha zote .


Akiwasilisha rasimu ya bajeti kwenye kikao maalum cha Baraza,  Kaimu Mkurugenzi wa Halmashauri ya Wilaya ya Mbogwe Bw Daud Lucas ,amesema Halmashauri inatarajia kukusanya , kupokea na kutumia zaidi ya Bilioni 31.292,669,600 ambapo kati ya fedha hizo Bilioni 10.988 zimetengwa kwa ajili ya miradi ya maendeleo,  762,288,000 ni ruzuku kutoka serikali kuu(OC)  18.141 ni mishahara ya watumishi na bilioni 1.377 ni makusanyo ya ndani


Lucas  amevitaja vipaumbele vya bajeti hiyo kwa mwaka wa fedha 2018/2019 kuwa inaangazia ukamilishaji wa miradi ambayo haikukamilika kwa miaka ya nyuma hususani ukamilishaji wa Miradi ya Afya na Elimu, ukusanyaji wa mapato kwa njia  ya kieletroniki ,kutoa huduma bora za kijamii, pamoja na kuinua uchumi wa wananchi


“Mhe Mwenyekiti rasimu hii ya mpango wa bajeti ya Halmashauri ni makadirio ya mapato na matumizi  kwa mwaka wa fedha  2018/2019, na itaendelea kujadiliwa na kupatiwa ushauri kwenye vikao vya ngazi ya Mkoa, ofisi ya Rais TAMISEMI pamoja na Wizara ya Fedha na Mipango kabla ya kujadiliwa na kupitishwa na Bunge” alibainisha Bw Lucas


Akiongea wakati wa kufunga kiako hicho,Mwenyekiti wa Halmashauri ya Wilaya ya Mbogwe Mhe Vicent Busiga Amewataka Madiwani kutoa Ushirikiano kwenye zoezi la ukusanyaji mapato pamoja na kubuni vyanzo vyanzo vipya vya mapato ili yasaidie kuharakisha maendeleo.






Announcements

  • Watoto wa kike waliokatisha Masomo yao November 01, 2021
  • TANGAZO LA NAFASI ZA KAZI YA USAJILI WA ANWANI ZA MAKAZI March 09, 2022
  • Mfumo wa Maombi ya Kazi kwa Walimu September 06, 2020
  • Ratiba ya Kampeni za Kampeni Jimbo la Mbogwe August 26, 2020
  • View All

Latest News

  • WAENDESHA VIFAA VYA BIOMETRIKI NA WAANDISHI WASAIDIZI WAKIPATA MAFUNZO

    April 29, 2025
  • MAFUNZO YA WAENDESHA VIFAA VYA BIOMETRIKI NA MAFUNZO YA WAANDISHI WASAIDIZI YAMEFANYIKA LEO TAREHE 29 APRILI,2025

    April 29, 2025
  • TAARIFA YA MKAGUZI WA MAHESABU

    June 26, 2024
  • Progamu ya utoaji wa Chakula Mashuleni wilayani Mbogwe

    May 20, 2022
  • View All

Video

UFUNGUZI WA MAJENGO MAPYA NA UPANUZI WA KITUO CHA AFYA CHA MASUMBWE, GEITA
More Videos

Quick Links

  • MKOA WA GEITA
  • WIZARA YA TAMISEMI
  • IKULU YA JAMHURI YA MUUNGANO WA TANZANIA
  • MAMLAKA YA MAPATO TANZANIA(TRA)
  • BARAZA LA MITIHANI LA TAIFA(NECTA)
  • WIZARA YA KATIBA NA SHERIA
  • WIZARA YA ELIMU,SAYANSI NA TKNOLOJIA
  • WIZARA YA FEDHA NA MIPANGO

Related Links

  • Ofisi ya Rais Tawala za Mikoa na Serikali za Mitaa
  • Ofisi ya Rais Utumishi na Utawala bora
  • Mkoa wa Geita

World visitors tracker

world map hits counter

Contact Us

    Mbogwe District council ,Masumbwe-Mbogwe,Geita

    Postal Address: P.O Box 1 Masumbwe

    Telephone: +255734412592

    Mobile: +255734412592

    Email: ded@mbogwedc.go.tz

Other Contacts

   

Visitors Counter

Counter Widgets

    • Privacy Policy
    • Disclamer
    • FAQ
    • Sitemap
    • Service

Copyright ©2016 GWF . All rights reserved.