• complaint |
    • Contact Us |
    • FAQ |
    • Staff Mail |
    • Frequently Asked Questions |
Halmashauri ya Wilaya ya Mbogwe
Halmashauri ya Wilaya ya Mbogwe

The United Republic of Tanzania MBOGWE DISTRICT COUNCIL MBOGWE DISTRICT COUNCIL

  • Home
  • About Us
    • History
    • Vision and Mission
  • Administration
    • Organization Structure
    • Department
      • Administration and human resource
      • Mipango, Takwimu na Ufuatiliaji
      • Finance and Business
      • Social Work
      • Health
      • Ardhi na Mali Asili
      • Elimu Msingi
      • Elimu Sekondari
      • Kilimo,Umwagiliaji na Ushirika
      • Mifugo na Uvuvi
      • Maji na Udhibiti Majitaka
      • Ujenzi na Zimamoto
      • Mazingira na Udhibiti Taka Ngumu
    • Units
      • Procurement and Supply
      • Sheria
      • Tehama
      • Ukaguzi wa Ndani
      • Nyuki
      • Uchaguzi
  • Fursa na Uwekezaji
  • Huduma
  • Madiwani
    • Orodha ya Waheshimiwa Madiwani
    • Kamati za Kudumu za Hamashauri ya Mbogwe
      • Kamati ya Fedha,Uongozi na Mipango
      • Kamati ya Elimu,Afya Na Maji
      • Kamati ya Maaadili
      • Kamati ya Uchumi,Ujenzi na Mazingira
      • Bodi ya Ajira
      • Alat Mkoa
      • Kamati ya Vileo
      • Kamati ya Kudhibiti Ukimwi(CMAC)
      • Kamati ya Kugawa Ardhi
      • Kamati ya LAVULAK
  • Miradi
    • Project Projection
    • Ongoing Projects
    • Completed Projects
  • Kituo cha Habari
    • Hotuba
    • Picha za Matukio mbalimbali
  • Machapisho
    • Bajeti na Taarifa za Mapato
    • Fomu mbalimbali

KAMATI YA MENEJIMENTI WILAYA YA MBOGWE YATEMBELEA MIRADI

Posted on: July 21st, 2025

21 JULAI,2025 MKURUGENZI MTENDAJI WA HALMASHAURI YA WILAYA YA MBOGWE Adv. EDWIN B. LUSA AMEONGOZA WAJUMBE WA KAMATI YA MENEJIMENTI YA WILAYA (CMT) KUTEMBELEA MIRADI YA MAENDELEO INAYOENDELEA KUTEKELEZWA KATIKA HALMASHAURI YA WILAYA YA MBOGWE KWA MWAKA WA FEDHA 2025/2026

Miradi iliyotembelewa ni pamoja na:-

1. Ujenzi wa Mabweni Mawili,Vyumba Viwili vya Madarasa na Matundu Kumi ya Vyoo katika Shule ya Sekondari Masumbwe Kata ya Nyakafuru wenye jumla ya TSH. 331,000,000/= ,Ujenzi umekamilika kwa Asilimia 94.

2. Ujenzi wa Mabweni Mawili,Vyumba Viwili vya Madarasa na Matundu Kumi ya Vyoo Katika Shule ya Sekondari Nyakasaluma Kata ya Masumbwe wenye jumla ya TSH. 331,000,000/= Fedha toka SEQUIP,Ujenzi umekamilika kwa Asilimia 94.

3. Ujenzi wa Jengo la OPD kwenye Kituo cha Afya Nyakafuru kata ya Nyakafuru wenye Gharama ya TSH. 100,000,000/= fedha toka Mapato ya Ndani,Ujenzi hatua ya Ukamilishaji.

4. Ujenzi wa Vyumba Viwili vya Madarasa katika Shule ya Msingi Nyasato Kata ya Nyasato wenye gharama ya TSH. 35,000,000/= Fedha toka Serikali Kuu,Ujenzi umekamilika kwa Asilimia 96.

5. Ujenzi wa Shule Mpya ya Amali wenye gharama ya TSH. 1,600,000,000/= Fedha toka Serikali Kuu,Ujenzi upo hatua ya Ukamilishaji.

Announcements

  • Watoto wa kike waliokatisha Masomo yao November 01, 2021
  • TANGAZO LA NAFASI ZA KAZI YA USAJILI WA ANWANI ZA MAKAZI March 09, 2022
  • Mfumo wa Maombi ya Kazi kwa Walimu September 06, 2020
  • Ratiba ya Kampeni za Kampeni Jimbo la Mbogwe August 26, 2020
  • View All

Latest News

  • MAADHIMISHO YA SIKU YA MASHUJAA

    July 25, 2025
  • MAADHIMISHO YA SIKU YA MASHUJAA

    July 25, 2025
  • MBOGWE INATEKELEZA

    July 25, 2025
  • KARIBU MWENGE WA UHURU WILAYANI MBOGWE

    July 25, 2025
  • View All

Video

UFUNGUZI WA MAJENGO MAPYA NA UPANUZI WA KITUO CHA AFYA CHA MASUMBWE, GEITA
More Videos

Quick Links

  • MKOA WA GEITA
  • WIZARA YA TAMISEMI
  • IKULU YA JAMHURI YA MUUNGANO WA TANZANIA
  • MAMLAKA YA MAPATO TANZANIA(TRA)
  • BARAZA LA MITIHANI LA TAIFA(NECTA)
  • WIZARA YA KATIBA NA SHERIA
  • WIZARA YA ELIMU,SAYANSI NA TKNOLOJIA
  • WIZARA YA FEDHA NA MIPANGO

Related Links

  • Ofisi ya Rais Tawala za Mikoa na Serikali za Mitaa
  • Ofisi ya Rais Utumishi na Utawala bora
  • Mkoa wa Geita

World visitors tracker

world map hits counter

Contact Us

    Mbogwe District council ,Masumbwe-Mbogwe,Geita

    Postal Address: P.O Box 1 Masumbwe

    Telephone: +255734412592

    Mobile: +255734412592

    Email: ded@mbogwedc.go.tz

Other Contacts

   

Visitors Counter

Counter Widgets

    • Privacy Policy
    • Disclamer
    • FAQ
    • Sitemap
    • Service

Copyright ©2016 GWF . All rights reserved.