• complaint |
    • Contact Us |
    • FAQ |
    • Staff Mail |
    • Frequently Asked Questions |
Halmashauri ya Wilaya ya Mbogwe
Halmashauri ya Wilaya ya Mbogwe

The United Republic of Tanzania MBOGWE DISTRICT COUNCIL MBOGWE DISTRICT COUNCIL

  • Home
  • About Us
    • History
    • Vision and Mission
  • Administration
    • Organization Structure
    • Department
      • Administration and human resource
      • Mipango, Takwimu na Ufuatiliaji
      • Finance and Business
      • Social Work
      • Health
      • Ardhi na Mali Asili
      • Elimu Msingi
      • Elimu Sekondari
      • Kilimo,Umwagiliaji na Ushirika
      • Mifugo na Uvuvi
      • Maji na Udhibiti Majitaka
      • Ujenzi na Zimamoto
      • Mazingira na Udhibiti Taka Ngumu
    • Units
      • Procurement and Supply
      • Sheria
      • Tehama
      • Ukaguzi wa Ndani
      • Nyuki
      • Uchaguzi
  • Fursa na Uwekezaji
  • Huduma
  • Madiwani
    • Orodha ya Waheshimiwa Madiwani
    • Kamati za Kudumu za Hamashauri ya Mbogwe
      • Kamati ya Fedha,Uongozi na Mipango
      • Kamati ya Elimu,Afya Na Maji
      • Kamati ya Maaadili
      • Kamati ya Uchumi,Ujenzi na Mazingira
      • Bodi ya Ajira
      • Alat Mkoa
      • Kamati ya Vileo
      • Kamati ya Kudhibiti Ukimwi(CMAC)
      • Kamati ya Kugawa Ardhi
      • Kamati ya LAVULAK
  • Miradi
    • Project Projection
    • Ongoing Projects
    • Completed Projects
  • Kituo cha Habari
    • Hotuba
    • Picha za Matukio mbalimbali
    • SHERIA NDOGO ZA HALMASHAURI
  • Machapisho
    • Bajeti na Taarifa za Mapato
    • Fomu mbalimbali

WATAALAMU WA MIFUGO WAMETOA ELIMU YA KICHAA CHA MBWA MASHULENI

Posted on: September 27th, 2025

WATAALAMU WA AFYA YA WANYAMA WAKISHIRIKIANA NA WATAALAMU WA AFYA YA BINADAMU WAMETOA ELIMU KWENYE SHULE ZA MSINGI KUHUSU ELIMU JUU YA UGONJWA WA KICHAA CHA MBWA.

Katika kuadhimisha Siku ya Kichaa cha Mbwa Duniani  tarehe 28/07/2025, Wataalamu toka Makao Makuu ya Halmashauri ya Wilaya ya Mbogwe wamefanya maadhimisho haya mapema siku ya Ijumaa tarehe 26/09/2025

Ikiwa ni lengo la kuwapa Elimu wanafunzi kuhusu Ugongwa huu hatari wa Kichaa cha Mbwa


Timu ya wataalamu ilitembelea shule sita za Tarafa ya Masumbwe zilizopo katika kata mbili za Nyakafuru na Masumbwe ambazo ni: Shule za Msingi Uhuru, Muungano, Masumbwe, Mkapa, Loen na Johnson.

Kati ya hizo, shule 2 ni Shule binafsi na 5 ni za Serikali, ambapo jumla ya wanafunzi waliohudhuria Mafunzo hayo na kupata Elimu ni zaidi ya Wanafunzi 3,600.


Elimu zilizotolewa ni pamoja na:-


1. Ufafanuzi wa ugonjwa wa kichaa cha mbwa– ni ugonjwa hatari unaosababishwa na virusi na huathiri mifumo ya fahamu ya wanyama na binadamu.

2. Njia za maambukizi– huambukizwa hasa kupitia kuumwa na mbwa mwenye ugonjwa au mnyama aliyeambukizwa kama paka, punda n.k.

3. Kinga kwa wanyama – kuchanja mbwa na paka mara kwa mara.

4. Jinsi ya kujikinga na ugonjwa.  kuepuka kusogelea, kushika au kuchokoza mbwa usiowajua kwa kupiga mawe au fimbo au kupiganisha / kushindanisha mbwa.

5. Kama mtu amengatwa: osha kidonda kwa maji na sabuni kwa dk 15, Toa taarifa mara moja kwa mzazi / mtu mzima unayeishi nae. Hakikisha mnafika hospitali ya serikali kwa ajili ya kupata kinga dhidi ya ugonjwa huu.

6. Hakuna tiba kwa binadamu au mnyama ambaye anaonesha dalili za ugonjwa.

5. Hatua za kujikinga – kuhakikisha mbwa wote wa kufugwa wanachanjwa, kutoacha mbwa kuzurura mitaani, na kutoa taarifa kuhusu mbwa wakali au wazururaji.


Kwa ujumla, zoezi hili limeongeza uelewa kwa wanafunzi na kuchochea hamasa ya jamii katika mapambano dhidi ya ugonjwa wa kichaa cha Mbwa na Jinsi ya Kujikinga.

Announcements

  • Watoto wa kike waliokatisha Masomo yao November 01, 2021
  • TANGAZO LA NAFASI ZA KAZI YA USAJILI WA ANWANI ZA MAKAZI March 09, 2022
  • Mfumo wa Maombi ya Kazi kwa Walimu September 06, 2020
  • Ratiba ya Kampeni za Kampeni Jimbo la Mbogwe August 26, 2020
  • View All

Latest News

  • Tangazo kwa wananchi Wote wa Mbogwe

    October 06, 2025
  • Wananchi toka Geita wametembelea Banda la Mbogwe

    September 28, 2025
  • Wananchi toka Maeneo Mbalimbali wametembelea Banda la Mbogwe

    September 28, 2025
  • Wananchi mbali mbali watembela Banda la Mbogwe

    September 28, 2025
  • View All

Video

UFUNGUZI WA MAJENGO MAPYA NA UPANUZI WA KITUO CHA AFYA CHA MASUMBWE, GEITA
More Videos

Quick Links

  • MKOA WA GEITA
  • WIZARA YA TAMISEMI
  • IKULU YA JAMHURI YA MUUNGANO WA TANZANIA
  • MAMLAKA YA MAPATO TANZANIA(TRA)
  • BARAZA LA MITIHANI LA TAIFA(NECTA)
  • WIZARA YA KATIBA NA SHERIA
  • WIZARA YA ELIMU,SAYANSI NA TKNOLOJIA
  • WIZARA YA FEDHA NA MIPANGO

Related Links

  • Ofisi ya Rais Tawala za Mikoa na Serikali za Mitaa
  • Ofisi ya Rais Utumishi na Utawala bora
  • Mkoa wa Geita

World visitors tracker

world map hits counter

Contact Us

    Mbogwe District council ,Masumbwe-Mbogwe,Geita

    Postal Address: P.O Box 1 Masumbwe

    Telephone: +255734412592

    Mobile: +255734412592

    Email: ded@mbogwedc.go.tz

Other Contacts

   

Visitors Counter

Counter Widgets

    • Privacy Policy
    • Disclamer
    • FAQ
    • Sitemap
    • Service

Copyright ©2016 GWF . All rights reserved.