• complaint |
    • Contact Us |
    • FAQ |
    • Staff Mail |
    • Frequently Asked Questions |
Halmashauri ya Wilaya ya Mbogwe
Halmashauri ya Wilaya ya Mbogwe

The United Republic of Tanzania MBOGWE DISTRICT COUNCIL MBOGWE DISTRICT COUNCIL

  • Home
  • About Us
    • History
    • Vision and Mission
  • Administration
    • Organization Structure
    • Department
      • Administration and human resource
      • Mipango, Takwimu na Ufuatiliaji
      • Finance and Business
      • Social Work
      • Health
      • Ardhi na Mali Asili
      • Elimu Msingi
      • Elimu Sekondari
      • Kilimo,Umwagiliaji na Ushirika
      • Mifugo na Uvuvi
      • Maji na Udhibiti Majitaka
      • Ujenzi na Zimamoto
      • Mazingira na Udhibiti Taka Ngumu
    • Units
      • Procurement and Supply
      • Sheria
      • Tehama
      • Ukaguzi wa Ndani
      • Nyuki
      • Uchaguzi
  • Fursa na Uwekezaji
  • Huduma
  • Madiwani
    • Orodha ya Waheshimiwa Madiwani
    • Kamati za Kudumu za Hamashauri ya Mbogwe
      • Kamati ya Fedha,Uongozi na Mipango
      • Kamati ya Elimu,Afya Na Maji
      • Kamati ya Maaadili
      • Kamati ya Uchumi,Ujenzi na Mazingira
      • Bodi ya Ajira
      • Alat Mkoa
      • Kamati ya Vileo
      • Kamati ya Kudhibiti Ukimwi(CMAC)
      • Kamati ya Kugawa Ardhi
      • Kamati ya LAVULAK
  • Miradi
    • Project Projection
    • Ongoing Projects
    • Completed Projects
  • Kituo cha Habari
    • Hotuba
    • Picha za Matukio mbalimbali
  • Machapisho
    • Bajeti na Taarifa za Mapato
    • Fomu mbalimbali

Wasichana Wenye Umri wa Miaka 14 Kupatiwa Chanjo ya Saratani ya Shingo ya Kizazi Geita

Posted on: April 17th, 2018

Mkoa wa Geita unatarajia kuanza zoezi la chanjo ya  kuzuia saratani ya mlango wa kizazi kwa Wasichana wenye Umri wa miaka kumi na nne(14) lengo likiwa ni kuwakinga na maambukizi ya virusi vya human papilloma.


Saratani ya Mlango wa kizazi imekuwa ikiongezeka kila mwaka kwa nchi  na takribani watu elfu hamsini wamekuwa wakiongezeka  na kusababisha vifo vya wakina mama wengi pamojana na mabinti.


Akizungumza na wadau wa sekta ya afya Mkoani Humo,Mkuu wa Mkoa wa Geita,Mhandisi Robert Gabriel ametaja sababu ambazo zimeendelea kusababisha saratani ya mlango wa kizazi  ni pamoja na kujamiiana kwenye umri mdogo,kuwa na wapenzi wengi  ndoa za mitaara pamoja na uvutaji wa sigara.


“Ndugu washiriki  baadhi ya dalili za ugonjwa wa saratani ni pamoja na Kutokwa kwa damu bila mpangilio au kutokwa damu baada ya kujamiana Maumivu ya mgongo, miguu  au kiuno Kuchoka, kupungua uzito, kupungikiwa hamu ya kula Kutokwa uchafu uchafu kwenye uke uliopauka wa rangi kahawia au wenye damu Kuvimba mguu mmoja”Alisema Robert.


Kwa upande wake Mratibu msaidizi wa Afya ya uzazi Mkoani humo,Bi Mbeleje Dornad alisema kwa hapa nchini takribani wanawake laki nne na sitini na tisa elfu wamegundulika na maambukizi ya saratani ya mlango wa kizazi.


“Inakadiriwa kuwa kila mwaka kati ya wanawake 466,000 wanathibitika kuwa na saratani ya mlango wa kizazi, na  wengi wao wako katika nchi zinazoendelea”Alisema Bi,Mbeleje.


Kaimu Mganga Mkuu wa Mkoa wa Geita,Joseph Odero amewataka wazazi pamoja na walezi kutoa ushirikiano pindi zoezi hilo litakapo anza tarehe 23 mwezi huu wa aprili ikiwa ni pamoja na kuwaruhusu mabinti wenye umri wa miaka 14 kufanyiwa chanjo hiyo.


Takwimu kutoka hospitali ya Occean Road inaonyesha kwamba, Saratani ya Mlango wa Kizazi inachangia kwa asimilia 36 ya saratani zote, Asilimia 70 ya wagonjwa wa saratani ya mlango wa kizazi wanajitokeza katika hatua ambayo tayari saratani imesha samba maeneo mengine mwilini.

Announcements

  • Watoto wa kike waliokatisha Masomo yao November 01, 2021
  • TANGAZO LA NAFASI ZA KAZI YA USAJILI WA ANWANI ZA MAKAZI March 09, 2022
  • Mfumo wa Maombi ya Kazi kwa Walimu September 06, 2020
  • Ratiba ya Kampeni za Kampeni Jimbo la Mbogwe August 26, 2020
  • View All

Latest News

  • WAENDESHA VIFAA VYA BIOMETRIKI NA WAANDISHI WASAIDIZI WAKIPATA MAFUNZO

    April 29, 2025
  • MAFUNZO YA WAENDESHA VIFAA VYA BIOMETRIKI NA MAFUNZO YA WAANDISHI WASAIDIZI YAMEFANYIKA LEO TAREHE 29 APRILI,2025

    April 29, 2025
  • TAARIFA YA MKAGUZI WA MAHESABU

    June 26, 2024
  • Progamu ya utoaji wa Chakula Mashuleni wilayani Mbogwe

    May 20, 2022
  • View All

Video

UFUNGUZI WA MAJENGO MAPYA NA UPANUZI WA KITUO CHA AFYA CHA MASUMBWE, GEITA
More Videos

Quick Links

  • MKOA WA GEITA
  • WIZARA YA TAMISEMI
  • IKULU YA JAMHURI YA MUUNGANO WA TANZANIA
  • MAMLAKA YA MAPATO TANZANIA(TRA)
  • BARAZA LA MITIHANI LA TAIFA(NECTA)
  • WIZARA YA KATIBA NA SHERIA
  • WIZARA YA ELIMU,SAYANSI NA TKNOLOJIA
  • WIZARA YA FEDHA NA MIPANGO

Related Links

  • Ofisi ya Rais Tawala za Mikoa na Serikali za Mitaa
  • Ofisi ya Rais Utumishi na Utawala bora
  • Mkoa wa Geita

World visitors tracker

world map hits counter

Contact Us

    Mbogwe District council ,Masumbwe-Mbogwe,Geita

    Postal Address: P.O Box 1 Masumbwe

    Telephone: +255734412592

    Mobile: +255734412592

    Email: ded@mbogwedc.go.tz

Other Contacts

   

Visitors Counter

Counter Widgets

    • Privacy Policy
    • Disclamer
    • FAQ
    • Sitemap
    • Service

Copyright ©2016 GWF . All rights reserved.