• complaint |
    • Contact Us |
    • FAQ |
    • Staff Mail |
    • Frequently Asked Questions |
Halmashauri ya Wilaya ya Mbogwe
Halmashauri ya Wilaya ya Mbogwe

The United Republic of Tanzania MBOGWE DISTRICT COUNCIL MBOGWE DISTRICT COUNCIL

  • Home
  • About Us
    • History
    • Vision and Mission
  • Administration
    • Organization Structure
    • Department
      • Administration and human resource
      • Mipango, Takwimu na Ufuatiliaji
      • Finance and Business
      • Social Work
      • Health
      • Ardhi na Mali Asili
      • Elimu Msingi
      • Elimu Sekondari
      • Kilimo,Umwagiliaji na Ushirika
      • Mifugo na Uvuvi
      • Maji na Udhibiti Majitaka
      • Ujenzi na Zimamoto
      • Mazingira na Udhibiti Taka Ngumu
    • Units
      • Procurement and Supply
      • Sheria
      • Tehama
      • Ukaguzi wa Ndani
      • Nyuki
      • Uchaguzi
  • Fursa na Uwekezaji
  • Huduma
  • Madiwani
    • Orodha ya Waheshimiwa Madiwani
    • Kamati za Kudumu za Hamashauri ya Mbogwe
      • Kamati ya Fedha,Uongozi na Mipango
      • Kamati ya Elimu,Afya Na Maji
      • Kamati ya Maaadili
      • Kamati ya Uchumi,Ujenzi na Mazingira
      • Bodi ya Ajira
      • Alat Mkoa
      • Kamati ya Vileo
      • Kamati ya Kudhibiti Ukimwi(CMAC)
      • Kamati ya Kugawa Ardhi
      • Kamati ya LAVULAK
  • Miradi
    • Project Projection
    • Ongoing Projects
    • Completed Projects
  • Kituo cha Habari
    • Hotuba
    • Picha za Matukio mbalimbali
  • Machapisho
    • Bajeti na Taarifa za Mapato
    • Fomu mbalimbali

REA Waombwa Kupeleka Umeme Kwenye Migodi Ili Kupunguza Gharama za Uendeshaji

Posted on: June 1st, 2018

BARAZA la Madiwani wa Halmashauri ya Wilaya ya Mbogwe limeridhia kuomba Shirika la TANESCO kupeleka Umeme wa REA katika maeneo ya Migodi ili gharama za uendeshaji kwa wananchi ziweze kupungua.

Awali akiwasilisha ombi hilo Mkurugenzi wa Halmashauri hiyo Elias Kayandabila  amesema Mbogwe imejaliwa kuwa na fursa nyingi za uchimbaji mdogo wa Madini ya Dhahabu , ambapo uchimbaji huo unapelekea wananchi kuongeza kipato na kuinua hali ya kiuchumi ya familia zao pia unaongeza mapato ya Halmashauri.

Kayandabila amesema kuwa ni maeneo mengi umeme huo wa REA mpaka sasa haujafika na hivyo kupelekea gharama za uendeshaji wa shughuli za uchimbaji kuwa kubwa kwa sababu ya mitambo ya kuchimba dhahabu inategemea raslimali ya mafuta hivyo gharama kuwa kubwa na faida baada ya uzalishaji kupungua .

Mkurugenzi huyo ameyataja maeneo ya ambayo hayajafikiwa na umeme wa REA na ndiyo yaliyo na fursa hiyo ya  dhahabu ardhini ni Nyakafulu,Bulanga ,Kakumbi Mpya chini ya Shule ,kanegere na Bukandwe.

Wilaya ya Mbogwe ni  miongoni mwa Wilaya ambazo zimefanikiwa kupitiwa na umeme wa Rea Katika Mkoa wa Geita  mradi ambao unasimamiwa na Shirika la Tanesco chini ya Mkandarasi ELTEL kwa ufadhili wa Banki ya maendeleo ya Afrika (ADB)Na inatarajia hadi  kukamilika mradi utanufaisha vijiji vyote 86 vya wilaya ya  Mbogwe.

Kwa upande wake meneja wa Tanesco Wilaya ya Mbogwe Weston Njejo amesema kuwa wao watapokea maombi  ambayo wameainisha maeneo na wao watayafikisha REA.




Announcements

  • Watoto wa kike waliokatisha Masomo yao November 01, 2021
  • TANGAZO LA NAFASI ZA KAZI YA USAJILI WA ANWANI ZA MAKAZI March 09, 2022
  • Mfumo wa Maombi ya Kazi kwa Walimu September 06, 2020
  • Ratiba ya Kampeni za Kampeni Jimbo la Mbogwe August 26, 2020
  • View All

Latest News

  • WAENDESHA VIFAA VYA BIOMETRIKI NA WAANDISHI WASAIDIZI WAKIPATA MAFUNZO

    April 29, 2025
  • MAFUNZO YA WAENDESHA VIFAA VYA BIOMETRIKI NA MAFUNZO YA WAANDISHI WASAIDIZI YAMEFANYIKA LEO TAREHE 29 APRILI,2025

    April 29, 2025
  • TAARIFA YA MKAGUZI WA MAHESABU

    June 26, 2024
  • Progamu ya utoaji wa Chakula Mashuleni wilayani Mbogwe

    May 20, 2022
  • View All

Video

UFUNGUZI WA MAJENGO MAPYA NA UPANUZI WA KITUO CHA AFYA CHA MASUMBWE, GEITA
More Videos

Quick Links

  • MKOA WA GEITA
  • WIZARA YA TAMISEMI
  • IKULU YA JAMHURI YA MUUNGANO WA TANZANIA
  • MAMLAKA YA MAPATO TANZANIA(TRA)
  • BARAZA LA MITIHANI LA TAIFA(NECTA)
  • WIZARA YA KATIBA NA SHERIA
  • WIZARA YA ELIMU,SAYANSI NA TKNOLOJIA
  • WIZARA YA FEDHA NA MIPANGO

Related Links

  • Ofisi ya Rais Tawala za Mikoa na Serikali za Mitaa
  • Ofisi ya Rais Utumishi na Utawala bora
  • Mkoa wa Geita

World visitors tracker

world map hits counter

Contact Us

    Mbogwe District council ,Masumbwe-Mbogwe,Geita

    Postal Address: P.O Box 1 Masumbwe

    Telephone: +255734412592

    Mobile: +255734412592

    Email: ded@mbogwedc.go.tz

Other Contacts

   

Visitors Counter

Counter Widgets

    • Privacy Policy
    • Disclamer
    • FAQ
    • Sitemap
    • Service

Copyright ©2016 GWF . All rights reserved.