• complaint |
    • Contact Us |
    • FAQ |
    • Staff Mail |
    • Frequently Asked Questions |
Halmashauri ya Wilaya ya Mbogwe
Halmashauri ya Wilaya ya Mbogwe

The United Republic of Tanzania MBOGWE DISTRICT COUNCIL MBOGWE DISTRICT COUNCIL

  • Home
  • About Us
    • History
    • Vision and Mission
  • Administration
    • Organization Structure
    • Department
      • Administration and human resource
      • Mipango, Takwimu na Ufuatiliaji
      • Finance and Business
      • Social Work
      • Health
      • Ardhi na Mali Asili
      • Elimu Msingi
      • Elimu Sekondari
      • Kilimo,Umwagiliaji na Ushirika
      • Mifugo na Uvuvi
      • Maji na Udhibiti Majitaka
      • Ujenzi na Zimamoto
      • Mazingira na Udhibiti Taka Ngumu
    • Units
      • Procurement and Supply
      • Sheria
      • Tehama
      • Ukaguzi wa Ndani
      • Nyuki
      • Uchaguzi
  • Fursa na Uwekezaji
  • Huduma
  • Madiwani
    • Orodha ya Waheshimiwa Madiwani
    • Kamati za Kudumu za Hamashauri ya Mbogwe
      • Kamati ya Fedha,Uongozi na Mipango
      • Kamati ya Elimu,Afya Na Maji
      • Kamati ya Maaadili
      • Kamati ya Uchumi,Ujenzi na Mazingira
      • Bodi ya Ajira
      • Alat Mkoa
      • Kamati ya Vileo
      • Kamati ya Kudhibiti Ukimwi(CMAC)
      • Kamati ya Kugawa Ardhi
      • Kamati ya LAVULAK
  • Miradi
    • Project Projection
    • Ongoing Projects
    • Completed Projects
  • Kituo cha Habari
    • Hotuba
    • Picha za Matukio mbalimbali
  • Machapisho
    • Bajeti na Taarifa za Mapato
    • Fomu mbalimbali

Wahamiaji Haramu 30 Wakamatwa Mkoani Geita

Posted on: April 18th, 2018

Idara ya uhamiaji Mkoani Geita imewakamata Raia wa Burundi Thelathini (30) ambao wanaishi na kufanya kazi Nchini kinyume cha sheria na wengine wakikamatwa kwenye zoezi la kujiandikisha vitambulisho vya Taifa ambalo linaendelea Mkoani humo.


Akizungumza na waandishi wa habari kwenye ofisi za uhamiaji Mkoani humo,Naibu kamishina wa idara ya uhamiaji Mkoani Geita, Wilfred Marwa amesema  kati  ya hao Raia kumi na nane ( 18) ambao wapo nchini kinyume na sheria na wanafanya kazi mbalimbali za kujiingizia kipato na wengine  kumi na mbili (12) walikuwa kwenye zoezi la kujiandikisha vitambulisho vya Taifa jambo ambalo ni kinyume cha sheria.


Naibu kamishina Marwa ametaja kazi ambazo wamekuwa wakizifanya Raia hao wa kigeni kuwa ni kazi za kilimo na ufugaji.


“Mara nyingi watu hawa wanajishughulisha sanaa na kazi za  ufugaji wa Ng’ombe na kilimo cha

Mananasi pamba na mpunga kwenye maeneo ya vijijini”Alisema Marwa.


Aidha kwa upande wake moja kati ya Raia wa Burundi aliyekamatwa na idara ya uhamiaji Bw,Kajoro Richard alisema sababu ambazo zimekuwa zikisababisha kuingia nchini ni kutokana na ugumu wa maisha nchini mwao na kukosekana kwa ajira.


“Mimi Kweli nilikuja hapa Tanzania nikitokea nchini kwetu Burundi kwa sababu ya kuja kutafuta maisha kwetu ajira ni ngumu sanaa ila naomba wanisamehe nipo tayari kurudi nchini kwetu”Alisema Kajoro.


Naibu kamishina Wilfred Marwa amesema zoezi hilo ni endelevu na kwamba amewataka raia wa kigeni kufuata utaratibu kwa kufuata vibari vya kukaa nchini kwa njia ya halali huku akiwataka watanzania ambao wanaishi na Raia hao kuachana na tabia hiyo na kwamba watakamatwa watafungwa kifungo cha miaka  20 au faini ya milioni ishirini 20.

Announcements

  • Watoto wa kike waliokatisha Masomo yao November 01, 2021
  • TANGAZO LA NAFASI ZA KAZI YA USAJILI WA ANWANI ZA MAKAZI March 09, 2022
  • Mfumo wa Maombi ya Kazi kwa Walimu September 06, 2020
  • Ratiba ya Kampeni za Kampeni Jimbo la Mbogwe August 26, 2020
  • View All

Latest News

  • WAENDESHA VIFAA VYA BIOMETRIKI NA WAANDISHI WASAIDIZI WAKIPATA MAFUNZO

    April 29, 2025
  • MAFUNZO YA WAENDESHA VIFAA VYA BIOMETRIKI NA MAFUNZO YA WAANDISHI WASAIDIZI YAMEFANYIKA LEO TAREHE 29 APRILI,2025

    April 29, 2025
  • TAARIFA YA MKAGUZI WA MAHESABU

    June 26, 2024
  • Progamu ya utoaji wa Chakula Mashuleni wilayani Mbogwe

    May 20, 2022
  • View All

Video

UFUNGUZI WA MAJENGO MAPYA NA UPANUZI WA KITUO CHA AFYA CHA MASUMBWE, GEITA
More Videos

Quick Links

  • MKOA WA GEITA
  • WIZARA YA TAMISEMI
  • IKULU YA JAMHURI YA MUUNGANO WA TANZANIA
  • MAMLAKA YA MAPATO TANZANIA(TRA)
  • BARAZA LA MITIHANI LA TAIFA(NECTA)
  • WIZARA YA KATIBA NA SHERIA
  • WIZARA YA ELIMU,SAYANSI NA TKNOLOJIA
  • WIZARA YA FEDHA NA MIPANGO

Related Links

  • Ofisi ya Rais Tawala za Mikoa na Serikali za Mitaa
  • Ofisi ya Rais Utumishi na Utawala bora
  • Mkoa wa Geita

World visitors tracker

world map hits counter

Contact Us

    Mbogwe District council ,Masumbwe-Mbogwe,Geita

    Postal Address: P.O Box 1 Masumbwe

    Telephone: +255734412592

    Mobile: +255734412592

    Email: ded@mbogwedc.go.tz

Other Contacts

   

Visitors Counter

Counter Widgets

    • Privacy Policy
    • Disclamer
    • FAQ
    • Sitemap
    • Service

Copyright ©2016 GWF . All rights reserved.