• complaint |
    • Contact Us |
    • FAQ |
    • Staff Mail |
    • Frequently Asked Questions |
Halmashauri ya Wilaya ya Mbogwe
Halmashauri ya Wilaya ya Mbogwe

The United Republic of Tanzania MBOGWE DISTRICT COUNCIL MBOGWE DISTRICT COUNCIL

  • Home
  • About Us
    • History
    • Vision and Mission
  • Administration
    • Organization Structure
    • Department
      • Administration and human resource
      • Mipango, Takwimu na Ufuatiliaji
      • Finance and Business
      • Social Work
      • Health
      • Ardhi na Mali Asili
      • Elimu Msingi
      • Elimu Sekondari
      • Kilimo,Umwagiliaji na Ushirika
      • Mifugo na Uvuvi
      • Maji na Udhibiti Majitaka
      • Ujenzi na Zimamoto
      • Mazingira na Udhibiti Taka Ngumu
    • Units
      • Procurement and Supply
      • Sheria
      • Tehama
      • Ukaguzi wa Ndani
      • Nyuki
      • Uchaguzi
  • Fursa na Uwekezaji
  • Huduma
  • Madiwani
    • Orodha ya Waheshimiwa Madiwani
    • Kamati za Kudumu za Hamashauri ya Mbogwe
      • Kamati ya Fedha,Uongozi na Mipango
      • Kamati ya Elimu,Afya Na Maji
      • Kamati ya Maaadili
      • Kamati ya Uchumi,Ujenzi na Mazingira
      • Bodi ya Ajira
      • Alat Mkoa
      • Kamati ya Vileo
      • Kamati ya Kudhibiti Ukimwi(CMAC)
      • Kamati ya Kugawa Ardhi
      • Kamati ya LAVULAK
  • Miradi
    • Project Projection
    • Ongoing Projects
    • Completed Projects
  • Kituo cha Habari
    • Hotuba
    • Picha za Matukio mbalimbali
    • SHERIA NDOGO ZA HALMASHAURI
  • Machapisho
    • Bajeti na Taarifa za Mapato
    • Fomu mbalimbali

MBOGWE YAPOKEA MBEGU ZA ZAO LA ALIZETI

Posted on: January 17th, 2026

MBOGWE YAPOKEA MBEGU ZA ZAO LA ALIZETI


Halmashauri ya Wilaya ya Mbogwe imepokea Mbegu ya Zao la Alizeti Tani 4.84 toka kwa Mamlaka ya Mazao Mchanganyiko (COPRA)ambazo zimegawiwa na Mkuu wa Wilaya ya Mbogwe Mhe. Sakina Mohamed kwa Wakulima Wadogo wadogo wa Kata za Masumbwe,Luganga,Nyakafuru Bukandwe na Iponya,ikiwa ni Uzinduzi wa Ugawaji wa Mbegu kwa Wakulima wa Wilaya ya Mbogwe.

Aidha Wilaya inatarajia kupokea  Tani 15 za Mbegu za Zao la Alizeti toka Mamlaka hiyo ya Mazao Mchanganyiko (COPRA).


Katika Hafla hiyo ya Ugawaji Mbegu,Mkuu wa Wilaya Mhe. Sakina Mohamed amewaasa Wakulima Wadogo Wadogo Wilayani Mbogwe kuacha kuchukua  Mikopo isiyorasmi maarufu kama kausha damu katika kuendesha Shughuli zao za Kilimo ambayo kwa kiasi kikubwa inawaumiza,hivyo amewaasa  kuchukua Mikopo katika Taasisi za kifedha zinazotambulika na Serikali hali itakayosaidia kuwa na uhakika wa kufanya Kilimo Chenye tija.


Aidha amewataka Maafisa Kilimo Wilayani humo kutoa Elimu kwa Wakulima juu ya Kilimo cha Alizeti kwa ngazi ya Kijiji na Vitongoji huku akiwasisitiza kutenda haki kwa Wakulima wakati wakutekeleza majukumu yao.


Sambamba na hayo amezitaka taasisi za kifedha kuwafikia Wakulima Wadogo Wadogo na kuwawezesha ili waweze kufanya kilimo Chenye tija.


Hafla hii ya Uzinduzi wa Ugawaji Mbegu za Zao la Alizeti imefanyika leo 17 Januari,2026 katika Ukumbi wa Kagri Uliopo Kata ya Nyakafuru.

Announcements

  • TANGAZO LA KUITWA KWENYE MAFUNZO YA UKARANI October 23, 2025
  • MAJINA YA USAILI HALMASHAURI YA WILAYA YA MBOGWE August 22, 2022
  • MAJINA YA USAILI HALMASHAURI YA WILAYA YA MBOGWE August 22, 2022
  • MAJINA YA USAILI HALMASHAURI YA WILAYA YA MBOGWE August 22, 2022
  • View All

Latest News

  • Mbogwe imekabidhi Vifaa vya Kitehama kwa Walimu wanaofundisha Wanafunzi wa Mahitaji Maalumu

    February 04, 2026
  • Mbogwe yaanza zoezi la Ugawaji wa Kadi za Bima ya Afya kwa Walengwa

    February 04, 2026
  • MBOGWE KUTOA KADO ZA BIMA YA AFYA KWA WAKENGWA

    February 03, 2026
  • Wataalam wa Ustawi Wa Jamii Watoa Elimu Mashuleni

    January 20, 2026
  • View All

Video

UFUNGUZI WA MAJENGO MAPYA NA UPANUZI WA KITUO CHA AFYA CHA MASUMBWE, GEITA
More Videos

Quick Links

  • MKOA WA GEITA
  • WIZARA YA TAMISEMI
  • IKULU YA JAMHURI YA MUUNGANO WA TANZANIA
  • MAMLAKA YA MAPATO TANZANIA(TRA)
  • BARAZA LA MITIHANI LA TAIFA(NECTA)
  • WIZARA YA KATIBA NA SHERIA
  • WIZARA YA ELIMU,SAYANSI NA TKNOLOJIA
  • WIZARA YA FEDHA NA MIPANGO

Related Links

  • Ofisi ya Rais Tawala za Mikoa na Serikali za Mitaa
  • Ofisi ya Rais Utumishi na Utawala bora
  • Mkoa wa Geita

World visitors tracker

world map hits counter

Contact Us

    Mbogwe District council ,Masumbwe-Mbogwe,Geita

    Postal Address: P.O Box 1 Masumbwe

    Telephone: +255734412592

    Mobile: +255734412592

    Email: ded@mbogwedc.go.tz

Other Contacts

   

Visitors Counter

Counter Widgets

    • Privacy Policy
    • Disclamer
    • FAQ
    • Sitemap
    • Service

Copyright ©2016 GWF . All rights reserved.