• Malalamiko |
    • Wasiliana Nasi |
    • FAQ |
    • Staff Mail |
    • Maswali ya Mara kwa Mara |
HALMASHAURI YA WILAYA YA MBOGWE
HALMASHAURI YA WILAYA YA MBOGWE

Jamuhuri ya Muungano wa Tanzania Ofisi ya Rais Tawala za Mikoa na Serikali za Mitaa Halmashauri ya Wilaya ya Mbogwe

  • Mwanzo
  • kuhusu sisi
    • Historia
    • Dira na Dhima
  • Utawala
    • Muundo wa Taasisi
    • Idara
      • Utawala na Rasilimali Watu
      • Mipango, Takwimu na Ufuatiliaji
      • Fedha na Biashara
      • Maendeleo ya Jamii
      • Afya
      • Ardhi na Mali Asili
      • Elimu Msingi
      • Elimu Sekondari
      • Kilimo,Umwagiliaji na Ushirika
      • Mifugo na Uvuvi
      • Maji na Udhibiti Majitaka
      • Ujenzi na Zimamoto
      • Mazingira na Udhibiti Taka Ngumu
    • Vitengo
      • Ugavi na Manunuzi
      • Sheria
      • Tehama
      • Ukaguzi wa Ndani
      • Nyuki
      • Uchaguzi
  • Fursa na Uwekezaji
  • Huduma Zetu
  • Madiwani
    • Orodha ya Waheshimiwa Madiwani
    • Kamati za kudumu
      • Kamati ya fedha, Uongozi na Mipango
      • Kamati ya Uchumi,Ujenzi na mazingira
      • Kamati ya Elimu Afya na Maji
  • Miradi
    • Miradi itakayotekelezwa
    • Miradi inayoendelea
    • Miradi iliyo Kamilika
  • Kituo cha Habari
    • Hotuba
  • Machapisho
    • Bajeti na Taarifa za Mapato
    • Fomu mbalimbali

ICT Unit

Teknolojia,habari, mawasiliano na mahusiano

Majukumu ya kiengo cha Teknologia ya habari na mawasiliano.

•Kutayarisha mpango Mkakati wa kuhusu Teknolojia ya habari na Mawasiliano, Miongozo na taratibu kwa kuzingatia Sera ya Taifa ya Teknolojia ya Habari na Mawasiliano.

•Kuishauri Menejimenti ya Sekretarieti ya Halmashauri juu ya masuala yanayohusiana na sera zinazohusiana na Teknolojia ya Habari na Mawasiliano na utekelezaji wa dhana ya serikali mtandao.

•Kusimamia maendeleo ya Teknolojia ya Habari na Mawasiliano na utekelezaji wake kwa ajili ya Sekretarieti ya Halmashauri ya Wilaya.

•Kushirikiana na ORM-TAMISEMI kuratibu na kuendeleza viwango vya Teknolojia ya Habari na Mawasiliano kwa ajili ya “software na hardware” kwa matumizi ya Sekretarieti ya Halmashauri na Mamlaka za Miji Midogo.

•Kuziwezesha Mamlaka za Miji Midogo, Kata na vijiji katika kuendeleza na kutekeleza mipango/miradi ya Teknolojia ya Habari na Mawasiliano.

•Kuratibu utekelezaji wa usanifu na kutunza/kuiendeleza matumizi yanayohusiana na Tovuti na utunzaji wa kumbukumbu kwa ajili ya Halmashauri ya Wilaya, wizarani na wadau wengine.

•Kutathimini, kuboresha na kusimamia Teknolojia ya Habari na Mawasiliano na usimamizi wa mifumo ya taarifa/habari iliyosimikwa/iliyowekwa kwenye Halmashauri.

•Kufanya tathimini ya mahitaji ya mafunzo juu ya usimamizi wa mifumo ya taarifa na teknolojia ya habari na mawasiliano na kuandaa mpango wa kujenga uwezo kwa watumishi wa Kitengo cha Tehama.

•Kufanya tathimini ya hatari/hasara zinazohusiana na Miundombinu ya Teknolojia ya Habari na Mawasiliano na mfumo wa usimamizi wa taarifa na namna ya kuthibiti.

•Kuendeleza na kutunza Tovuti ya Halmashauri.

Kusimamia mioundombinu yote ya  mifumo ya mapato .


Matangazo

  • Halmashauri zaagizwa kutumia mapato yao kwenye huduma za jamii June 05, 2019
  • Orodha ya Wanafunzi wa Halmashauri ya Mbogwe waliochaguliwa kujiunga na Kidato cha Tano, Elimu ya Kati na Vyuo vya Ufundi kwa mwaka wa Masomo 2019 na maelezo ya kujiunga(JOINING INSTRUCTION) June 01, 2019
  • Tangazo la siku ya usafi August 27, 2016
  • Tazama zote

Habari Mpya

  • Kampeni ya Ujenzi na matumizi bora ya vyoo yaanza leo katika Halmashauri ya Mbogwe

    June 23, 2019
  • Mkutano wa Mkurugenzi wa Halmashauri ya Wilaya ya Mbogwe na Wadau wa Soko la Madini

    June 05, 2019
  • Madiwani wa Halmashauri ya Mbogwe Wametakiwa Kutembelea Miradi, Wasisubiri Taarifa Ofisini

    June 04, 2018
  • REA Waombwa Kupeleka Umeme Kwenye Migodi Ili Kupunguza Gharama za Uendeshaji

    June 01, 2018
  • Tazama zote

Video za Shughuli za Kiofisi au Kitaifa

Baraza la Madiwani Robo ya Tatu
Video Zaidi

Viungo vya Haraka

  • MKOA WA GEITA
  • WIZARA YA TAMISEMI
  • MAMLAKA YA MAPATO TANZANIA(TRA)
  • BARAZA LA MITIHANI LA TAIFA(NECTA)
  • WIZARA YA KATIBA NA SHERIA
  • WIZARA YA ELIMU,SAYANSI NA TKNOLOJIA

Tovuti linganifu

  • Ofisi ya Rais Tawala za Mikoa na Serikali za Mitaa

World visitors tracker

world map hits counter

Wasiliana Nasi

    Mbogwe District council ,Masumbwe-Mbogwe,Geita

    Anuani ya Posta: P.o.box 1 Masumbwe

    Telephone: +255757499681

    Simu ya Kiganjani: +255757499681

    Barua Pepe: ded@mbogwedc.go.tz

Other Contacts

   

Visitors Counter

Counter Widgets

    • Privacy Policy
    • Disclamer
    • FAQ
    • Sitemap
    • Huduma Zetu

Copyright ©2017 MBOGWE DC . All rights reserved.